Mdundulizaji
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 194
- 24
"navua gamba,
ccm kama mamba inatulamba,
ni maji machafu hayafai hata kuchamba"
Ni maneno ya hiphop mojawapo jukwaani!
kundi la kwanza la watakaotawazwa leo toka Umasaini limeingia!
Lema, Mbowe ndani ya uwanja
... umati umelipuka!
ccm kama mamba inatulamba,
ni maji machafu hayafai hata kuchamba"
Ni maneno ya hiphop mojawapo jukwaani!
kundi la kwanza la watakaotawazwa leo toka Umasaini limeingia!
Lema, Mbowe ndani ya uwanja
... umati umelipuka!