Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Unapambana!!!! Wamekukimbia wanaoujua moto wa CDM
hata yeye anaujua moto wa chadema sema anajitia hamnazo..
Unapambana!!!! Wamekukimbia wanaoujua moto wa CDM
Zaman kila post ya chadema lzm na picha. Cku hiz vipi? Hata smart phone na digital camera hamna? Au kuna vitu mnaficha?
Mmekusanya wahuni tupu, hakuna mpiga kura hapo!Wapiga kura wa sombetini mara hii wamekuwa wajinga siyo? CCM mnawatukana wapiga kura?
Mbona siku hizi hamuambatanishi na picha/?
Mmekusanya wahuni tupu, hakuna mpiga kura hapo!
Hatutegemei Mawazo awe msaliti kama Zitto..[/QUOTE
Kama aliweza kuisaliti CCM atashindwa kuisaliti CDM kama huamini ngoja mmnyime nafasi ya kugombea ubunge.
Kufika kwako hata ungekuja na ccm yote haikisaidii chama chenu, hata hivyo unaruhusiwa kuja kusikiliza hotuba makini za ukombozi wa fikraHizi porojo ndio zinasababisha nisifike kwenye mikutano ya CHADEMA, sikuzoea kudanganywa!
Haya matusi hayakusaidii sana sana unajidhalilisha mwenyeweMINI K ameshawasili?
Haujashirikisha akili yako kwa hii postHuu uchaguzi ulifanyikia geto gani?
Nenda kawadai ccm waweke picha za uzinduzi wa kampeni zao tuone. Kampeni za sombetini ccm mnaenda kufanyia kata ya Elerai kulikoni?Weka Picha ya uzinduzi wa kampeni.
Kwenu hata Shetani ni Mungu, na mbinu zenu zinajulikana, watanzania hawadanganyiki tenaTunashukuru Mungu sasa hivi Miwigulu kawa waziri, sijui mkitupa mabomu kwenye mikutano yenu mtamsingizia nani tena.
PoleYale yale, manajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.
Watu wa kanda ya ziwa wameshajitambua, ccm wana hali mbaya sana...Acheni Porojo, tunataka kujua, hiyo mikutano 400 imemkomboa vipi mtanzania maskini?
Bila kulazimishwa na chadema wasingeitisha uchaguzi, mandondocha huwa wanawaza kushindwa tuTume ya uchaguzi iko chini ya serikali ipi? inaongozwa na nani? wadanganyenyeni hao hao wajinga!
Matusi hayakusaidiiTukio la soweto Lema alikutwa kajificha kwenye banda la kitimoto pale mianzini, aache kudanganya raia. Akishavuta anaongeaga ujinga sana.
Matusi hayakusaidiiNdondocha ndio akina nani? MINI KABANG anazidi kuwehuka?
Wewe na Lema nani anatukana?Lema kapata uwanja wa kuporomoshea matusi yake!
Wewe kipindi cha kampeni huwa unapangisha kwenye kata ya uchaguzi tunakujua... mara Kimandolu, sasa SombetiniNani kamdanganya shida ya sombetini ni maji?
Wewe ukijitambua utalaani aliyekuchelewesha kujitambuatedo siku ukijitambua utajilaumu sana.
Serikali inaongozwa na mandondocha ndiyo maana kila kitu hovyo hovyoMalizia kuvuta bangi ukalale, huwezi kuita serikali inayokupa kila sababu ya kuitwa mtanzania, NDODOCHA halafu tukakuona una akili timamu.
Matusi yanakudhalilishaMINI KABANG amenenepa? ile KITU MBAYA imempenda kweli!
Sombetini ya kwenye keyboardMimi ninaishi SOMBETINI, nani kakwambia kuna shida ya maji? Tatizo lenu mnachanganya USELA na SIASA.
Pole wewe unayejua matokeo halisi lakini unajitia uwendawazimuNiwape Pole nyie, maana SOMBETINI hamuambulii chochote, na mmewekeza nguvu kubwa sana!
Wewe hapa upo kazini, na kwa hizi post sidhani kama utaambulia hata buku 2Huko ndio kubaya zaidi kwa MBOWE na Dr.Slaa wanaotegemea ruzuku ya vyama kuganga njaa zao.
Upeo wa kuona mbele kwako wewe ni matusi? JitambueTedi unashabikia ujinga kwa ajili huna upeo wa kuona mbele.
Wewe humu ndiyo unawatafutia watoto wako chakula? Akili ndogo sana weweUmeshawaza watoto wako watakula nini jioni ya leo? au hauna majukumu, unaishi kwa mjomba?
Akili yako inawaza maandamano tuMtu mwenye majukumu huwezi kuapata nafasi ya kukimbia kimbia kwenye maandamano yasiyo na kichwa wala mguu, eti tunampeleka mgombea kwake! ujinga sana!
Matusi ndiyo silaha za ccm majukwaani, siyo kosa lakoLEMA amekupa raha ee! najua LEMA anakufurahisha sana.
Hata chaguzi za kata nne mlisema hivyo hivyo.Mmekusanya wahuni tupu, hakuna mpiga kura hapo!
Jamii forums wana skip picha za mkutano chadema? Aibu sana kwa maccm lkn. Hapa tarime kazi ni moja tu 2015 Kuwamaliza magamba