Wewe mwehu! Achaga kutudanganya watu na akili zetu bhana!
Mkuu umehangaika sana........ Pole maana umepost upumbavu ambao Lumumba hukamati chochote
Mi nikajua atakuwa waziri wa mapolisi huko kaenda kufichwa.
Malizia kuvuta bangi ukalale, huwezi kuita serikali inayokupa kila sababu ya kuitwa mtanzania, NDODOCHA halafu tukakuona una akili timamu.
Niwape Pole nyie, maana SOMBETINI hamuambulii chochote, na mmewekeza nguvu kubwa sana!
View attachment 133244View attachment 133245View attachment 133246View attachment 133247
Chadema ni habari nyingine....
Huko ndio kubaya zaidi kwa MBOWE na Dr.Slaa wanaotegemea ruzuku ya vyama kuganga njaa zao.
Mimi ninaishi SOMBETINI, nani kakwambia kuna shida ya maji? Tatizo lenu mnachanganya USELA na SIASA.
Bravoo chadema
Ni balaa mkuuu.....
Tedi unashabikia ujinga kwa ajili huna upeo wa kuona mbele.
Tedi unashabikia ujinga kwa ajili huna upeo wa kuona mbele.
Hii nyomi nikadhani labda Obama amekuja hapo Sombetini..
tunampeleka mgombea wetu nyumbani watu ni wengi...
tunampeleka mgombea wetu nyumbani watu ni wengi...