Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Lema,
Kuna mtu amesajili namba inayofanana na ya kwangu, lakini yenye code namba ya airtel, anaeneza propaganda za udini, huyo mtu tumeshamjua, tumpuuze tutamshughulikia
 
Lema,
Kuna mtu amesajili namba inayofanana na ya kwangu, lakini yenye code namba ya airtel, anaeneza propaganda za udini, huyo mtu tumeshamjua, tumpuuze tutamshughulikia

CDM ina Intelijensia ya juu sijapata ona..
 
Lema,
Kesho kutwa tunaanza operations nchi nzima, helcopter tano kwa siku kumi, agenda kuu ni rasimu ya katiba na kupanda kwa gharama za umeme na gesi. Kazi ya sombetini tunawaachia BAVICHA wakapambane na hawa ndondocha

Ndondocha ndio akina nani? MINI KABANG anazidi kuwehuka?
 
Bananga,
Anampandisha mama yake jukwaani, anamfananisha na wamama wengine wa sombetini waliochoka. Nawaahidi watu wangu wa Sombetini kama familia moja, na wazee wangu wa Sombetini ni wazee wangu wote.
Anamwahidi Mawazo kuwa mpenzi wake nimempenda, na nitamlea kwa dhati, na kwamba mimi siyo boya, na wala siyo faala, kwa ishu ya maji nitalala kwenye ofisi ya mbunge mpaka nipate maji
 
Golugwa:
Haka kakijana kalikosimamishwa na ccm alikuwa reject kwetu, bahati mbaya kwake amekimbilia tena kwenye nuksi, chadema tunakwenda kushinda siyo kwa ajili ya kutafuta heshima, bali kwenda kusimamia miradi ya wananchi na kuwatumikia kwa haki na ukweli

Kwa kwa kwa kwa....Hapa ndipo ninapoipenda CDM bure.......Fisi kaacha mzoga wao wakaukimbilia.....CCM imekula kwenu...
 
Bananga,
Anampandisha mama yake jukwaani, anamfananisha na wamama wengine wa sombetini waliochoka. Nawaahidi watu wangu wa Sombetini kama familia moja, na wazee wangu wa Sombetini ni wazee wangu wote.
Anamwahidi Mawazo kuwa mpenzi wake nimempenda, na nitamlea kwa dhati, na kwamba mimi siyo boya, na wala siyo faala, kwa ishu ya maji nitalala kwenye ofisi ya mbunge mpaka nipate maji

Makamanda wa CDM wana-confidence balaaaa.....!!!
 
Lema kapata uwanja wa kuporomoshea matusi yake!

Angalia usije ukapata wazimu...Maana upo mwenyewe kama mchawi....Vipi leo hujapata wa kukuhonga bia za mwisho wa weekend......

Ungepata wa kukuhonga hakika ungekaa kimyaa....Hujachalewa bado endelea kujipitisha utapata wateja..
 
Bananga,
Anampandisha mama yake jukwaani, anamfananisha na wamama wengine wa sombetini waliochoka. Nawaahidi watu wangu wa Sombetini kama familia moja, na wazee wangu wa Sombetini ni wazee wangu wote.
Anamwahidi Mawazo kuwa mpenzi wake nimempenda, na nitamlea kwa dhati, na kwamba mimi siyo boya, na wala siyo faala, kwa ishu ya maji nitalala kwenye ofisi ya mbunge mpaka nipate maji

Nani kamdanganya shida ya sombetini ni maji?
 
Lema,
Kesho kutwa tunaanza operations nchi nzima, helcopter tano kwa siku kumi, agenda kuu ni rasimu ya katiba na kupanda kwa gharama za umeme na gesi. Kazi ya sombetini tunawaachia BAVICHA wakapambane na hawa ndondocha


Hawa mandondocha tunawatosha hakika! Hawana sumu hata kidogo!
 
Nassary;
Kama mnavyotuona hatujavaa suti kwasababu chadema hatugawi vyeo.
Mkoa wa Arusha umekuwa icon ya mabadiliko kwenye taifa la Tanzania. CCM wamemsimamisha mtoto wa kiongozi hapa kuwa mgombea, na kule Arumeru mnakumbuka ccm walimsimamisha mtoto wa kigogo aliyeoa mtoto wa kigogo, watu wa Arumeru wakawaambia ccm kuwa utawala wa kifalme hauna nafasi kwetu. Ndugu zangu nawaambia ccm wakipata kura 30% Sombetini na Bananga kashinda kwa 70% itakuwa ni aibu kubwa sana..... Ndugu zangu mnapomchagua diwani wa chadema maana yake ni mmechoka kunyanyaswa na ccm, mmechoka na utawala mbovu wa ccm.
 
DSC07387.JPG DSC07379.JPG DSC07364.JPG DSC07385.JPG
Chadema ni habari nyingine....
 
Hawa mandondocha tunawatosha hakika! Hawana sumu hata kidogo!

Malizia kuvuta bangi ukalale, huwezi kuita serikali inayokupa kila sababu ya kuitwa mtanzania, NDODOCHA halafu tukakuona una akili timamu.
 
Tunashukuru Mungu sasa hivi Miwigulu kawa waziri, sijui mkitupa mabomu kwenye mikutano yenu mtamsingizia nani tena.

Mi nikajua atakuwa waziri wa mapolisi huko kaenda kufichwa.
 
Back
Top Bottom