Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Umeshawaza watoto wako watakula nini jioni ya leo? au hauna majukumu, unaishi kwa mjomba?

Umeshawaza wadogo zako wa form two waliofeli wanaendelea na kidato cha tatu bila kurudia
 
Salute kwenu Mungi na Crashwise ,niko Mwanza lakini kwa updates zenu alikuwa as if nipo Arusha
 
Dah, nilikuwa najaribu kufikiria hivi Tz yetu hii bila ya uwepo wa CHADEMA ingekuweje? Maana MACCM yapo yapo tu kwa ajili ya kutumaliza kabisa kila kitu kwao ni poa wakiamua kUSAFIRISHA TWIGA KUWAPELEKA ABROAD hakuna ugumu kwao nadhani ipo siku kuiuza nchi yetu ila hilo pia huenda halitawezekana kwa vile chama makini bado kinaendelea kututetea naamini ukombozi hauko mbali kidogo unaanza nukia. Arusha ushindi uko pale pale tu kama last time ilikuwa 4 bila kwa nini tushindwe kwenye uchaguzi huu? ZZK pole sana kwa ujinga wako kweli tamaa mbaya utaendelea kujutia tu subiri magamba wakilianzisha hapo lazima change yao urejesho kama ulikula sana bata ukajisahau kazi ndio inaanza!
 
Umeshawaza watoto wako watakula nini jioni ya leo? au hauna majukumu, unaishi kwa mjomba?

wewe choo ninauhakika wa kula na familia yangu kwa miaka mitatu labda pesa ya kibadilisha mboga ndiyo nitakosa na sidaiwi kodi..kama vipi mlete mkeo nimlee...
 
wewe choo ninauhakika wa kula na familia yangu kwa miaka mitatu labda pesa ya kibadilisha mboga ndiyo nitakosa na sidaiwi kodi..kama vipi mlete mkeo nimlee...

Mtu mwenye majukumu huwezi kuapata nafasi ya kukimbia kimbia kwenye maandamano yasiyo na kichwa wala mguu, eti tunampeleka mgombea kwake! ujinga sana!
 
Acheni Porojo, tunataka kujua, hiyo mikutano 400 imemkomboa vipi mtanzania maskini?

Hivi hiyo mikutano 400 aliyofanya mawazo imeongeza nini kwa wananchi? Mawazo kabaki kupiga porojo na kuchumia tumbo, ngoja akose nafasi ya kugombea ubunge tuone kamahajahamia NCCR.
 
Hivi hiyo mikutano 400 aliyofanya mawazo imeongeza nini kwa wananchi? Mawazo kabaki kupiga porojo na kuchumia tumbo, ngoja akose nafasi ya kugombea ubunge tuone kamahajahamia NCCR.

moja ya matunda ya mikutano ya Mawazo waulize Familia ya Mabina...au subiri chaguzi za serikali za mitaa..
 
moja ya matunda ya mikutano ya Mawazo waulize Familia ya Mabina...au subiri chaguzi za serikali za mitaa..

Kwani ana mpango wa kugombea udiwani? Mawazo anachotafuta ni ubunge na sio kingine sasa anahaha kujaribu kuangalia ni jimbo gani agombee. Hawezi kugombea Arusha kwani anaujua moto wa Lema.
Then katika mikutano mia nne kama familia ya mabina ndo wamefaidika basi hapo hakuna efficiency coz effort kubwa return kidogo.
 
Kwani ana mpango wa kugombea udiwani? Mawazo anachotafuta ni ubunge na sio kingine sasa anahaha kujaribu kuangalia ni jimbo gani agombee. Hawezi kugombea Arusha kwani anaujua moto wa Lema.
Then katika mikutano mia nne kama familia ya mabina ndo wamefaidika basi hapo hakuna efficiency coz effort kubwa return kidogo.

mkuu jifunze kusoma na kuelewa, nilichokisema nkikowazi kuwa mawazo kawaamsha sana wasukuma wenzake na matunda ya kuamka ni mziki alioupata mabina na kuhakikishia matokeo mengine subiria chaguzi za serikali za mitaa kuhusu jimbo gani atahombea mpaka sasa majimbo 9 kanda ya ziwa yamemuomba agombee na ni kuhakikishie huyu jamaa sioni mwanasiasa yoyote ndani ya ccm anaweza pambana na mawazo..jitahidi umsikilize anauwezo mkubwa sana...
 
mkuu jifunze kusoma na kuelewa, nilichokisema nkikowazi kuwa mawazo kawaamsha sana wasukuma wenzake na matunda ya kuamka ni mziki alioupata mabina na kuhakikishia matokeo mengine subiria chaguzi za serikali za mitaa kuhusu jimbo gani atahombea mpaka sasa majimbo 9 kanda ya ziwa yamemuomba agombee na ni kuhakikishie huyu jamaa sioni mwanasiasa yoyote ndani ya ccm anaweza pambana na mawazo..jitahidi umsikilize anauwezo mkubwa sana...

...Kamanda nimemwona Kamanda Mawazo Akirusha makombora mfululizo!!! asee hili jembe!!!!
 
Hivi hiyo mikutano 400 aliyofanya mawazo imeongeza nini kwa wananchi? Mawazo kabaki kupiga porojo na kuchumia tumbo, ngoja akose nafasi ya kugombea ubunge tuone kamahajahamia NCCR.

wananchi wamejitambua na hawako tayari tena kurubuniwa kwa tshirt,kofia wala kanga za kijani nyakati za uchaguzi.pia,wananchi wataitumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi wa kuwatumikia na si hawa wahuni,wezi,wauza sembe na majangili kutoka magambani!
 
Mtu mwenye majukumu huwezi kuapata nafasi ya kukimbia kimbia kwenye maandamano yasiyo na kichwa wala mguu, eti tunampeleka mgombea kwake! ujinga sana!
kwa hiyo unataka kusema,bora wewe unayehangaikia buk 7 kwa kupost uharo mitandaoni!!!??? shame on yu!
 
mkuu jifunze kusoma na kuelewa, nilichokisema nkikowazi kuwa mawazo kawaamsha sana wasukuma wenzake na matunda ya kuamka ni mziki alioupata mabina na kuhakikishia matokeo mengine subiria chaguzi za serikali za mitaa kuhusu jimbo gani atahombea mpaka sasa majimbo 9 kanda ya ziwa yamemuomba agombee na ni kuhakikishie huyu jamaa sioni mwanasiasa yoyote ndani ya ccm anaweza pambana na mawazo..jitahidi umsikilize anauwezo mkubwa sana...

Nimesoma na ninaelewa vizuri, sio nijifunze kusoma na kuelewa. Unaposema kuwa kawaamsha wasukuma wenzake unajidanganya coz hata mkutano wake mmoja alioufanya Didia na Mbugani nilikuwepo na anachoweza jukwaani sio kunadi sera zake bali kuendeleza malumbano mara ya ZZK na CC, mara CCM imefanya vile badala ya kutushawishi atafanya nini yeye kama yeye. Kura za kupigiana kisa ukabila na uchama zishapitwa na wakati na hakuna mtu anaemuita aende kugombea kwenye hayo majimbo 9 unayosema labda ni wapiga debe wake ndo wanamlaghai ajaribu kugombea.

Tusijaribu kupigia kura mtu kwa kuangalia chama, kumbuka hata huyu Mawazo mwanzo alikuwa CCM na watu walimwamini wakamchagua sio kwa vile ni mgombea wa CCM bali kwa vile aliweza kuwashawishi kwa sera zake. Unaposema kwamba hakuna mwanasiasa yeyote wa CCM anayeweza pambana naye unakosea coz watu wanachoangalia ni uwezo wa mtu.

n way tuachane na hayo man chester amefungwa ngapi?
 
Kwani ana mpango wa kugombea udiwani? Mawazo anachotafuta ni ubunge na sio kingine sasa anahaha kujaribu kuangalia ni jimbo gani agombee. Hawezi kugombea Arusha kwani anaujua moto wa Lema.
Then katika mikutano mia nne kama familia ya mabina ndo wamefaidika basi hapo hakuna efficiency coz effort kubwa return kidogo.

kamanda mawazo ni jembe la uhakika,magamba kama 300 yanaingia! kanda ya ziwa tunajivunia sana kupata mpambanaji kama mawazo,wasukuma wameamka na sasa wanajitambua wapo tayari kuizika ccm kupitia chaguzi zijazo!!!
 
kamanda mawazo ni jembe la uhakika,magamba kama 300 yanaingia! kanda ya ziwa tunajivunia sana kupata mpambanaji kama mawazo,wasukuma wameamka na sasa wanajitambua wapo tayari kuizika ccm kupitia chaguzi zijazo!!!

unamaanisha wasukuma tulikuwa hatujitambui?
 
Back
Top Bottom