Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
- Thread starter
- #41
Mawazo;
Anaomba msamaha kwa wale waliokwazika kwa yeye kuondoka udiwani, kwamba alipokuwa diwani nilisema mtoto yeyote atakayefukuzwa shule asiende kwa wazazi wake, aje ofisini kwangu, watoto wakawa wanakuja ofisini kwangu, lakini baada ya kuondoka watoto walipofukuzwa walikuta kufuli ofisini kwangu. Anasema kama kuna wakati aliishi maisha magumu ni wakati alipokuwa ccm.... anasema alichukiwa na mpaka mfagiaji wa ccm kwa kusema ukweli....
Anaomba msamaha kwa wale waliokwazika kwa yeye kuondoka udiwani, kwamba alipokuwa diwani nilisema mtoto yeyote atakayefukuzwa shule asiende kwa wazazi wake, aje ofisini kwangu, watoto wakawa wanakuja ofisini kwangu, lakini baada ya kuondoka watoto walipofukuzwa walikuta kufuli ofisini kwangu. Anasema kama kuna wakati aliishi maisha magumu ni wakati alipokuwa ccm.... anasema alichukiwa na mpaka mfagiaji wa ccm kwa kusema ukweli....