Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Mkutano wa CHADEMA Sombetini

Mawazo;
Anaomba msamaha kwa wale waliokwazika kwa yeye kuondoka udiwani, kwamba alipokuwa diwani nilisema mtoto yeyote atakayefukuzwa shule asiende kwa wazazi wake, aje ofisini kwangu, watoto wakawa wanakuja ofisini kwangu, lakini baada ya kuondoka watoto walipofukuzwa walikuta kufuli ofisini kwangu. Anasema kama kuna wakati aliishi maisha magumu ni wakati alipokuwa ccm.... anasema alichukiwa na mpaka mfagiaji wa ccm kwa kusema ukweli....
 
Mawazo;
Kanda ya ziwa nimeivuruga ccm kote, nimefanya mikutano 400 kwa mwaka katika majimbo 38, na hatafuti utukufu bali kukomboa watu maskini kama mimi ambao wameteswa mateso mengi.....
 
Mawazo;
Kanda ya ziwa nimeivuruga ccm kote, nimefanya mikutano 400 kwa mwaka katika majimbo 38, na hatafuti utukufu bali kukomboa watu maskini kama mimi ambao wameteswa mateso mengi.....

Acheni Porojo, tunataka kujua, hiyo mikutano 400 imemkomboa vipi mtanzania maskini?
 
Katibu wa Kanda ya Kaskazini Kamanda Amani Golugwa anazungumza sana, anasema umati mkubwa namna hii unanipa faraja, kwamba ccm hawana lao tena Sombetini.
Anamwambia Bananga kwamba umati huu hapa unatuambia kwamba Sombetini kumenuka, ccm hali tete....
 
Golugwa,
CCM walikuwa hawataki sombetini uchaguzi usifanyike, wakati wa uchaguzi wa kata nne Lema alinijia akaniambia tugome kuingia kwenye uchaguzi hadi Sombetini ijumuishwe, wakazingua lakini sasa wameachia na hatimaye wanasombetini wanakwenda kuchagua haki dhidi ya dhuluma........ sombetini ccm wakitoka na kura 10 watafanya sherehe
 
Golugwa:
Haka kakijana kalikosimamishwa na ccm alikuwa reject kwetu, bahati mbaya kwake amekimbilia tena kwenye nuksi, chadema tunakwenda kushinda siyo kwa ajili ya kutafuta heshima, bali kwenda kusimamia miradi ya wananchi na kuwatumikia kwa haki na ukweli
 
Golugwa,
CCM walikuwa hawataki sombetini uchaguzi usifanyike,. sombetini ccm wakitoka na kura 10 watafanya sherehe

Tume ya uchaguzi iko chini ya serikali ipi? inaongozwa na nani? wadanganyenyeni hao hao wajinga!
 
Godbless Lema,
Anasema wakati anamshawishi Mawazo aje chadema tulikuwa njiro complex, nikamwambia Mawazo uwezo wako ni mkubwa wa kwenda kuwakomboa watu wa kanda ya ziwa. Nikamwambia Mawazo ajivue udiwani, nikirudishiwa ubunge ada ya chuo kikuu nitakumalizia.
 
Godbless Lema,
Anasema wakati anamshawishi Mawazo aje chadema tulikuwa njiro complex, nikamwambia Mawazo uwezo wako ni mkubwa wa kwenda kuwakomboa watu wa kanda ya ziwa. Nikamwambia Mawazo ajivue udiwani, nikirudishiwa ubunge ada ya chuo kikuu nitakumalizia.


Mungi unasomeka barabara kabisaaaaaaaa!
Nipo nje ya mji ila nitatua leo leo na bila shaka tu pamoja!
 
Last edited by a moderator:
Lema,
Bananga anafanya kazi nzuri kwenye chama, amekisaidia chama lindi na mtwara, leo tuna wenyeviti wa serikali za mitaa kule yote ni kwasababu ya kazi ya Bananga.
 
Lema;
Uchaguzi wa Sombetini, akipigwa moja wetu, tunaacha kampeni, tunakwenda kumsaidia mwenzetu. Hatuwezi kuvumilia upumbavu wowote na hili polisi na usalama wa taifa wasikie
 
Lema;
Maslahi ya mtu kuwa diwani wa chadema ni kupigania utu wa mtu kwanza.
Polisi wasikie, kwamba kama nitachomwa kisu nikafa, na sababu ya kifo hicho ni kwasababu ya kuwatetea akina mama wanaoteswa na kunyanyaswa, hicho kifo nakitaka sasahivi.
CCM hamtatufanya wajinga tena, wametutesa, wametupuuza sana, na wakileta uhuni, na polisi wakishindwa kuwashughulikia tutawashughulikia wenyewe
 
Watu kwa mamia wana imani na Chadema,Ni wajibu wa Viongozi wetu kujiimarisha kiuongozi ili wananchi kwa Ujumla waweze kutuamini, Lakini Matumaini ya Watanzania yako Mikononi mwa Chadema.
 
Lema;
Maslahi ya mtu kuwa diwani wa chadema ni kupigania utu wa mtu kwanza.
Polisi wasikie, kwamba kama nitachomwa kisu nikafa, na sababu ya kifo hicho ni kwasababu ya kuwatetea akina mama wanaoteswa na kunyanyaswa, hicho kifo nakitaka sasahivi.
CCM hamtatufanya wajinga tena, wametutesa, wametupuuza sana, na wakileta uhuni, na polisi wakishindwa kuwashughulikia tutawashughulikia wenyewe
Tukio la soweto Lema alikutwa kajificha kwenye banda la kitimoto pale mianzini, aache kudanganya raia. Akishavuta anaongeaga ujinga sana.
 
Lema,
Nilipokuwa bungeni majuzi nilimwambia Ole Medeye kuwa Kikwete akikurudisha uwaziri utakuwa chizi.
Tumesikia jamaa amempiga chini.
Ole Medeye anahubiri ukabila wakati ameoa mchaga mpuuzi kweli
 
Ni raha sana kwa kweli.Chadema ni tumaini kuu la wanyonge Tanzania.
 
Lema,
Kesho kutwa tunaanza operations nchi nzima, helcopter tano kwa siku kumi, agenda kuu ni rasimu ya katiba na kupanda kwa gharama za umeme na gesi. Kazi ya sombetini tunawaachia BAVICHA wakapambane na hawa ndondocha
 
Back
Top Bottom