Wakuu,
Mkutano wa kampeni wa chadema sombetini ndiyo umefunguliwa rasmi na Mwenyekiti wa Kata ya Sombetini Kamanda Madava ndiyo amefungua rasmi, lakini amegusia suala la utulivu, kwamba tunaombe tuwe watulivu kwa kipindi hiki cha kampeni, tuwe wapole, wavumilivu, lakini tusiwe wanyonge. Amesema tusimguse wala kumchokoza mtu, lakini tukiguswa tusimwache....
Diwani wa Ngarenaro Doita anawasalimia wananchi, anasema maendeleo yanayoonekana Arusha ni kwasababu ya chadema, wakati hatupo hawakuthubutu, lakini tulipoingia tukikohoa wanafanya..... chezea chadema.
.............................................