Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

sasa nape anaseema ukawa itakufa kifo cha mende, ukawa imemtuma lisu kumtukana Kambarage, linamkaribisha mwigulu

Wimbo wa dansi umewekwa wanakata kwanza viuno. Mwigulu anaanza kwa kusema ccm hoyeeee watu kimyaaaaaa, anarudia tena ccm hoyeeeee watu kimyaaaaaaa. daaa hawa jamaaa wanajidhalilisha leo peupe kweli wamechemka bora hata wasingeurusha mkutano huu hewani.

watu wanaondoka mmoja mmoja mwigulu anaelezea hoja ya katiba mpya kwamba ilitokana na ccm, watu wanazidi kupungua jamani angalieni wenyewe star tv
 
Yeah tena wale watu wanasema kwakua wameshapewa posho hawana cha kupoteza wanasepa maana ccm ni sehemu ya kuvunia
 
mwigulu anaelezea mkasa wa UKAWA kutoka bungeni alianza kwa kusema ccm hoyeeee watu kimyaaaaaa alivyoona watu wako kimya akalazimika kuingia kwenye mjadaala wake.
 
Mimi niko nawaangalia,hakika Ccm haina watu wenye akiri,wamesema wanakakagua ilani ya Ccm lakini nashangaa wanainadi Ukawa,Slaa,Lisu,Mbowe Cuf,Nccr.Hawa watu wamerogwa?
 
Nani kakudanganya watu wameondoka nyomi ipo ya kutosha vijana waliyo tumwa kurusha ile kitu ya lema wamekamatwa bkabla
 
kinana badili kocha na fomesheni, soma upepo hawa mawaziri hawana tija kwa jamii uliyokuwa unaongea nayo, alika wenyeviti wa mitaa na kata ndo waongee na wapiga kura wao, hao mawaziri nenda nao udom saut na udsm kama muhongo alivyofanya siku anamnanga mengi.
 
Kwa gamba aliyeko mitamboni aainishe hoja za Nape hapa,kuna kipi zaidi ya CCM oyeeh
 
Akili za Lisu ndo zinaigharimu ccm kiasi hiki? Watanzania wakishajua pesa mnayoonga imetoksna na meno ya tembo...kwisheni 2015
 
Ningekuwa mimi ni Kinana
nisingehangaika na mtu anaetoka chama kingine kujiunga (iwe ni upya au
kurudi) maana mtu alietoka ccm hii na akairudia ikiwa haina
ilichobadirika mtu huyo hatakuwa na msaada zaidi ya kuwa msaka
tonge!

ni kweli hawa wabunge wa viti maalumu wa ukawa hawana lolote, yeye akomae na beleshi na mwiko kumalizia viporo vya memm na memkwa, wananchi watapima wenyewe.
 
Back
Top Bottom