samaki2011
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 1,775
- 469
alaf kaanza kusema eti hao wanaenda kunywa maji watarudi, watu wanaondoka utadhani ni maandano au wameitwa, nimecheka sana! jamaa hawajui kula na vipofu, hao wanaahibika kwa maneno yao watu wanasepaaaa!!
kaka nikweli aliongea hivyo hata mimi nimeona star tv, aibu kubwa bora wasingeirusha