Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

mwenyekiti wa zamani wa chadema , anakiri amehongwa viwanja kwa ajili ya uchimbaji madini yeye na mwenyekiti wa ccm moa wa singida , na kupewa milioni 40 na kampuni ya wawekezaji hivyo ndio maana anaenda ccm ......aibu kweli hiii

huyu jamaa ni mbwiga kweli ndio maana cdm hawamtaki hiki sio kitu cha kusema mbele ya watu wengi halafu tupo live
 
Sema pia kuwa amekiri kuhongwa viwanja vitatu yeye na Mwenyekiti wa CCM Mkoa kwa ajili ya uchimbaji , na pia kampuni ya wawekezaji iliwahi nag shilingi milioni 40 .......
hivi mbona hakuna watu kwenye mkutano huo .......

mkuu huoni huo umati?eh eh eh huo ni mkutano wa viongozi waandamizi wa chama karibia wote wako pale!
 
Mwenyekiti wa zamani wa Chadema , anakiri amehongwa viwanja kwa ajili ya uchimbaji madini yeye na Mwenyekiti wa CCM Moa wa Singida , na kupewa milioni 40 na kampuni ya wawekezaji hivyo ndio maana anaenda CCM ......aibu kweli hiii

Uharo!!!
 
watu waondoka baada ya kusemwa Lissu na dr slaa, watu wamemind wanaondoka, nape anasema achana nao waondoke, wanaenda kunywa maji watarudi, eh eh eh, jamani angalieni wenyewe! hapa hakuna uchawi wa picha, wanaangalia star tive live!!
 
Ccm itaongoza nchi hii milele...kwa jinsi navyoona huu umati...sijui hizi saccos zilizofunga ndoa ya mkeka juzi km zitavuka 2015
 
nape anadai ana nyomi ya watu hapo. Kwa mnaotazama star tv, hiyo ni nyomi kweli!?
 
watu waondoka baada ya kusemwa Lissu na dr slaa, watu wamemind wanaondoka, nape anasema achana nao waondoke, wanaenda kunywa maji watarudi, eh eh eh, jamani angalieni wenyewe! hapa hakuna uchawi wa picha, wanaangalia star tive live!!
Ukiwa kichaa km lissu ndio comment zenu hizi
 
Kuwarubuni watu kwa pesa ili kummaliza mtu kisiasa ni style ya kizamani sana. Lissu hawamuwezi. Alimshindwa Jakaya mwenyewe itakuwa Kinana?
 
Ukiwa kichaa km lissu ndio comment zenu hizi

ni kweli lissu ni kichaa? ilo unalijua wewe, wee angalia star tv utacheka tu...nape yuko anaelezea umoja wa wapinzani badala ya sera za maccm. Sina haja ya kuwa na komenti wee angalia picha star tv bora iko live , umati mkuuuubwaa!!eh eh eh!
 
Comred nape anakinulisha hivi sasa jukwaani, anasema hawa ukauwa hawana jipya..ni waroho tu wa madaraka
 
Nape na yeye anaenda nje ya mada sisi tupo hapa kuzungumzia changamoto za wanasingida sasa ukawa inawasaidia nini wanasingida huyu naye gongo aliyokunywa kule tabora imeanza kuharibu ubongo wake
 
Watu wanatoka uwanjani baada ya nape kuanza kutukana viongozi akiwemo dr.slaa
 
Biashara hiyo, ndugu zangu wanazuzuka na hongo za CCM
 
hamna watu hapo. Wote ni viongozi wa chama wamejaa hapo

angalia star tv mkuu, ni vituko, kamera imeangalia upande wa barabara ndo kuna watu ila ni magari tu yanaonekana yanapita, aibu!!
 
Watu wa singida wameanza kuondoka uwanjani kwa hasira baada ya nape kutukana viongozi wa chadema.
 
Back
Top Bottom