Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mnaficha nini sasa mbatia alipewa pesa na ccm nadhani watu wanajua.
 
CCM wanadhani ukimpa mtu pesa umemununua, kumbe umemfadhili tu afanye mambo yake, Mbatia piga mbizi alokufadhili mtumbwi asikwambie ufukwe wa kugoa.
 
Akamuulize kwanza Mwenyekiti wa chama chao cha MACCM, zile bilioni chungu nzima alizotumia kwenye kampeni za 2005 na 2010 alizipata wapi!?

Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.
 
Naona malori sasa yanapiga kazi kujaza watu uwanjani, na nasikia kuwa Star TV wamekatisha kurusha hewani mpaka hili zoezi likamilike.

Kumbe Malori yanabeba watu na sio viatu basi sawa wacha yaendelee kusomba watanzania wakamsikilize katibu mkuu wa chama chao
 
Ndiomana mi huwa nasema hivi, Kitendo cha CHADEMA kuungana na viongozi kama Mbatia na Lipumba ni kosa la karne, kama mtu ni mfatiliaji mzuri wa siasa utagundua mission ya Mbatia since mfumo wa vyama vingi vilipoaanza, Mbatia ana historia ya kutumika na CCM kuhujumu upinzani mfano uchaguzi wa Zanzibar wa 2000, So kwa hali hii tutaendelea kusikia mengi lakini ukweli utabikia kuwa tumeshapotea njia lakin hili tutaeelewa mwisho wa safari na sio sasa.

naungana na ww 100%!
 
mbatia anawadanganya ukawa..mbatia muda wote yuko lumumba
 
Kama ni hivyo kuna sababu ya Nape kuuliza swali ambalo jibu analo?!

siri zotte za ukawa zinapelekwa ccm na mbatia..mbatia angekuwa ni mpinzani kweli angejiuzulu ubunge wa viti maalum aliopewa na kikwete
 
Ndiomana mi huwa nasema hivi, Kitendo cha CHADEMA kuungana na viongozi kama Mbatia na Lipumba ni kosa la karne, kama mtu ni mfatiliaji mzuri wa siasa utagundua mission ya Mbatia since mfumo wa vyama vingi vilipoaanza, Mbatia ana historia ya kutumika na CCM kuhujumu upinzani mfano uchaguzi wa Zanzibar wa 2000, So kwa hali hii tutaendelea kusikia mengi lakini ukweli utabikia kuwa tumeshapotea njia lakin hili tutaeelewa mwisho wa safari na sio sasa.

Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.

Kwa kufikiria kidogo tu Nape anataka kutoa siri zao za nyuma, kuwa Mbatia hela za kampeni alipewa na CCM. Inawezakuwa kweli.

Lakini ya nini kusema leo? Kwa nini wakati ule wanampa hawakufanya press conference ili tujue? Huu ndiyo tunaoita unafiki. Kama wakati akiwa wenu inakuwa sawa, iendelee kuwa hivyo hata akiwatoka!

Kimsingi naamini kila mtu anakosea. Swala la jana nani alifanya nini siyo la msingi sana. Kwa sasa tunataka kuona anafanya nini! Kama anachofanya kinakubalika kwa kiwango cha kuwatia kiwewe kina Nape, its enough! Trust me guys mkiona wanapiga kelele ujue jiwe limempata mtu!
 
Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.
Akijibu ndipo ataibua mengi zaidi bora anyamaze make ataombwa kueleza pia bungeni ameingaje aliyempa ubunge walianzia wapi mpaka akapewa ubunge,eti mbatia naye anajiita mpinzani aibu kweli.
 
Akamuulize kwanza Mwenyekiti wa chama chao cha MACCM, zile bilioni chungu nzima alizotumia kwenye kampeni za 2005 na 2010 alizipata wapi!?
Nape kama MC wa CCM atueleze Hesabu za Mali za Watanzania walizowekeza Enzi za mfumo wa Chama kimoja Zinakaguliwa na nani? Mpaka sasa zimetengeneza faida kiasi gani? Wale waliohujumu mali za Jumuiya ya Wazazi na kufungua Benki Hewa chini ya M/kiti wao, wamechukuliwa hatua zipi za kinidhamu so far? Viwanja vya michezo zinaingiza kiasi gani kwa mwaka?.... Tunajua kuwa MNCs like Barrick, Symbion, Agreco, Songas, Resolute Gold, Geita Gold Mine, British Gas et huwa wanachanga trillions kugharamia uchaguzi wa CCM:; Swali. Je ? Matumizi ya fedha hizo ni sehemu ya mikataba ya Uchimbaji madini CCm waliyoingia?...
 
Back
Top Bottom