Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Na declare interest mie sio mfuasi wa chama chochote tanzania ila kwa maneno haya ya nape ni kweli ccm wamedhamilia kuwamaliza kabisa ukawa na hizi zinaitwa siasa za maji taka, kwa sababu ukishatoa maneno ambayo yatazua mafarakano kati ya dr slaa, mbatia, mboye, katibu mkuu wa nccr mageuzi na prof. lipumbana, unataka nn zadi ya hapo? mbali zaidi ni kutaka kumuondoa lissu kwenye kiti cha ubunge mwakani

eh eh eh nyie maccm mkisikia UKAWA na LISSU mnatamani hata msijulkane kama ni maccm...kitu gani cha maana alichoongea nape?TANGU SA9 MPAKA saa12 na dakika13 nilikuwa naangalia star tv, hakuna lolote la maana zaidi ya kumtukana Mbatia, lissu na mzee mtei, kidogo sana na dr slaa!! mwigulu kidogo ndo kaongea pointi kuwa hatapeleka mswada wa kufuta misamaha ya kodi,,,vingine hakuna kitu!!
 
Na declare interest mie sio mfuasi wa chama chochote tanzania ila kwa maneno haya ya nape ni kweli ccm wamedhamilia kuwamaliza kabisa ukawa na hizi zinaitwa siasa za maji taka, kwa sababu ukishatoa maneno ambayo yatazua mafarakano kati ya dr slaa, mbatia, mboye, katibu mkuu wa nccr mageuzi na prof. lipumbana, unataka nn zadi ya hapo? mbali zaidi ni kutaka kumuondoa lissu kwenye kiti cha ubunge mwakani

Kwa nini hamtaji points walizoongea,mnajua hamuwezi danganya,kitu kilikuwa live
 
Maccm bhana! Badala ya kutililika point zilizoongelewa wanarukatika tu!,...nini alichosema napa na kinaana ktk mkutano huo. Tutenge pumba na mchele.
 
mbunge wa singida mjini Dewji anajielewa kidogo maana kaunda vikundi vingi na anavipa misaada, baadhi ya vikundi ivo ni
kikundi cha wapiga kokoto
kikundi cha wachaji simu.
Kikundi cha wauza samaki
Kikundi cha wauza mayai
Kikundi cha wabrashi viatu
nk nk nk kilichoniacha hoi ni kikundi cha wachaji simu!!
 
eh eh eh nyie maccm mkisikia UKAWA na LISSU mnatamani hata msijulkane kama ni maccm...kitu gani cha maana alichoongea nape?TANGU SA9 MPAKA saa12 na dakika13 nilikuwa naangalia star tv, hakuna lolote la maana zaidi ya kumtukana Mbatia, lissu na mzee mtei, kidogo sana na dr slaa!! mwigulu kidogo ndo kaongea pointi kuwa hatapeleka mswada wa kufuta misamaha ya kodi,,,vingine hakuna kitu!!

Ni kweli kabisa maneno aliyoongea nape hata mimi mwenyewe hayajanifurahisha hata kidogo. Narudia japokuwa sio mfuasi wa chama chochote lakini nape anaposema mboye alienda Nairobi akapewa hela za kufanya mkutano kibanda maiti Zanzibar akatoa hela baadhi nyingine akaziweka mfukoni na kumtaka mboye atoke hadharani ajieleze, manake ni kutaka kuwachonganisha viongozi wa chadema, mbili anaposema katibu mkuu wa nccr mageuzi amuulize mbatia hela za uchaguzi alizipata wapi, na kumtaka kiongozi huyo kutoka hadharani kujieleza ni kutaka kuwagombanisha viongozi wa nccr , tatu anaposema yule ni yakibaguzi kwa kutoa mada kwamba dr slaa anapanda helicopter wakati prof lipumba ni kutaka kuwagombanisha chadema na cuf. kiukweli nape hajaongea point kabisa na kama ndo 2nategemea vijana kama hawa ndo waje watuongoze nchi yetu basi tuna safari ndefu sanaaaaaaa
 
Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.
 
Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.
Asubiri CAG atakapokagua mahesabu atapata details. Sidhani kama ni sahihi vyama kuulizana pesa zao wametoa wapi. Kama ni sahihi basi vyama vyote vitupe fedha zao wanazotumia kuzunguka mikoani zimetoka wapi!
 
Ccm walitoa wapi na wao kipindi kileeee
 
Duh! Kwa hivo taarifa ya habari ya saa 11 jioni hatupati? Kwa nini wasiitumie TBC yao? Walianza na RFA pale Tabora na sasa StarTV kwa nini wakati TBC ipo?
Wamegundua hatuangalii tena TBC wameona wajaribu Star Tv kumbe nayo wanaangalia wanaolazimika tu..wenye options aah wapi.
 
Mbatia amewashika pabaya, mmeanza longolongo. Mlifikiri kwa kuteuliwa na Rais, angewatumikia, imekula kwenu magamba, na badooooooo!!!!!!!
 
Ndiomana mi huwa nasema hivi, Kitendo cha CHADEMA kuungana na viongozi kama Mbatia na Lipumba ni kosa la karne, kama mtu ni mfatiliaji mzuri wa siasa utagundua mission ya Mbatia since mfumo wa vyama vingi vilipoaanza, Mbatia ana historia ya kutumika na CCM kuhujumu upinzani mfano uchaguzi wa Zanzibar wa 2000, So kwa hali hii tutaendelea kusikia mengi lakini ukweli utabikia kuwa tumeshapotea njia lakin hili tutaeelewa mwisho wa safari na sio sasa.
 
Nape yule vuvuzela wa CCM kamuweka mahali pabaya sana Mbatia, akihutubia mkutano mjini Singida ulioonyeshwa na Startv leo amemtaka Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi amuulize boss wake Mbatia alipata wapi pesa zilizotumika
Kufanyia Uchaguzi ndani ya NCCR mageuzi.

Mytake
Hili swali limeficha mengi ndani yake ni vizuri Mbatia ajibu mapema kabla hali ya hewa haijachafuka.

Mkuu sidhani kama Mbatia ninayemfahamu anaweza kujibu swali la ki-------- kama hili. Hilo swali amuulize katibu wake Kinana pesa za kuzurura nchi nzima kujifanya wana uchungu na wananchi wamepata wapi?
 
Ndiomana mi huwa nasema hivi, Kitendo cha CHADEMA kuungana na viongozi kama Mbatia na Lipumba ni kosa la karne, kama mtu ni mfatiliaji mzuri wa siasa utagundua mission ya Mbatia since mfumo wa vyama vingi vilipoaanza, Mbatia ana historia ya kutumika na CCM kuhujumu upinzani mfano uchaguzi wa Zanzibar wa 2000, So kwa hali hii tutaendelea kusikia mengi lakini ukweli utabikia kuwa tumeshapotea njia lakin hili tutaeelewa mwisho wa safari na sio sasa.

Nimechekaje leo lakini Mbatia ni kiongozi mzuri tumeona hata leo jinsi anavyotia vijana productive kama kina kisandu, ccm hebu muacheni apumuzike.
 
Back
Top Bottom