Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Tatizo liko wapi kama pesa wanatumia za chama??
Hili suala hili linaniumizaga sana kichwa yani mtu pesa yake unatakaje kumpangia matumiz? Hata watumie trilion 7 as long as ni pesa za chama chao haituhusu sanaa labda ungesema wanatumia pesa zetu. In fact kila chama kinatumia gharama kufanya mikutano yao.
 
hivi hii habari si ni ya ccm, chadema inahusika vipi
 
Kibaya zaidi ikija kubainika hizo pesa bilion 4 zimetoka Hazina badala ya Ruzuku ya ccm .
 
Kwa kukokotoa zawenzenu hamjambo

Mtuambie na ninyi

Pesa za vibakuli mlizitumia vipi
Nazilikuwa sh. Ngapi?
1650cbab8552df37002fa873a84c62b6.jpg
3c2a093bd16c90f9ec50ad58218553ed.jpg
Ningekuona unaakili kama ungeanzisha Uzi wake
 
Hivi kuna MTU anapoteza Pesa yake kununua Tanzania Daima! Lilishapoteza mwelekeo tangu CDM walipozikana Sera zao
 
Hili suala hili linaniumizaga sana kichwa yani mtu pesa yake unatakaje kumpangia matumiz? Hata watumie trilion 7 as long as ni pesa za chama chao haituhusu sanaa labda ungesema wanatumia pesa zetu. In fact kila chama kinatumia gharama kufanya mikutano yao.
Mkuu tatizo hiyo pesa si ya ccm kuna ujanja unafanyika ichotwe hazina , kule ccm wajanja akina Kinana, Rajab, na wenzao walishakomba kila kitu mapema A/C ni nyeupe kabsa,wamechukua chao mapema Kama lilivyo jina Lao kwani wanajua Magufuli akiingia atapangua kila kitu na kuweka watu wake, kinacholeta wasiwasi ni wapi pesa inapatikana ? Hiyo pesa ni ya umma kwenda kufanya mkutano wa chama kimoja tu ni Ufujaji wa pesa,
 
Hela nyingi mno
hiyo pesa ingekuwa ya ccm wenyewe kusingekuwa na shida licha ya wajanja nao kupiga kupitia humo humo , tatizo ni hiyo pesa kuchotwa kwingine kabsa kugharamia mkutano wa ccm .
 
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?

Ni uandishi tu mkubwa lakini lengo ni JK kukabidhi UENYEKITI wa chama taifa (si uchaguzi) kwa JPM na kama umesahau mkutano huo umepewa jina la "Mkutano mkuu maalumu" na ni kwa mantiki hii kuwa "umaalumu" huo unasababishwa na Magufuli!!

Mwandishi huyu yuko sahihi kabisa na ni mwandishi haswa. Hata hivyo ingeandikwa kama unavyotaka pia wala isingekuwa na tatizo....all could be the same!!
 
hivi hizi hekaheka zinatusaidiaje wananchi?ningefurahi sana kama mambo ya chama yangetenganishwa na mambo ya nchi regardless mtawala.haipendezi mambo ya chama kutumia fedha za wananchi.chama wawe na miradi yao ya kujiendesha kama chama na si kodi za wananchi hata kama watatumia sh 1000 achana na HIYO BIL 4
Ni kweli umeona mbali hiyo pesa inachotwa hazina si pesa ya ccm , wanatumia pesa za umma Kwa mkutano wa chama kimoja !!
 
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Sikuelewi unatetea nini we kwa mawazo yako unadhani huko dom wataenda bure si lazima watatumia fedha?mbona hapo hawabani matumizi hiyo hela ikafanyia vitu vingine?ina maana vikao vya chama ni muhimu sana kwa nchi?hapo ni kama kamshangaa JPM ndugu kama huelewi kiswahili cha tafsida halafu tunataka kiswahili kitumike wakati wenyewe kudefine terms tu ni shida.Mimi nimemaind sana hata wangetumia elfu kumi ingeniuma sembuse hiyo?
 
Budget ya mbowe kuzunguka nchi nzima yeye na mdee na esta bulaya ilikuwa sh.ngapi??

Pesa ya Ruzuku ikipokelewa tu mnaanza maandamano, mbowe anatangaza kuzunguka nchi nzima ili ale pesa ya Ruzuku vizuri
 
Subiri uone.....hili move chama kilikuwa hakina pesa, kabisa hata wafanyakaz wetu....wa magazeti na redio hali mbaya lumumba
ccm hawana pesa kabsa pesa yote imekombwa mapema wamejilipa kiinua mgongo mapema wanajua Magufuli akiingia atawasambalatisha , pesa hizo si za ccm wananchi wana kila haki ya kuhoji .
 
Hiyo pesa ijenge Hosptal kubwa hapa Dodoma waachane na kutumia gharama kubwa kukabidhiana Uenyekiti huku huduma za afya na mengineyo hapa Dodoma vina Hali mbaya sana .
 
Budget ya mbowe kuzunguka nchi nzima yeye na mdee na esta bulaya ilikuwa sh.ngapi??

Pesa ya Ruzuku ikipokelewa tu mnaanza maandamano, mbowe anatangaza kuzunguka nchi nzima ili ale pesa ya Ruzuku vizuri
Na anaipata sana unakumbuka Mustapha Sabodo alivomwaga pesa 2005
 
Back
Top Bottom