Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Makonda kabanwa mpaka kenda kukanusha alichosema awali, na uhuru likuje na data sahihi zaidi ya hizi kama zipo.
 
Bora CCM huwa wanajaribu kuweka wazi matumizi yao hata kama ya uongo ama ya ufujaji, lakini Chadema tunasikia tu kuna kikao kanda ya ziwa, hatujawahi kuambiwa gharama wala anaegharamia wala anaelipa hizo gharama.

Mbowe ndio kila kitu.!
hivi kwani mbowe ndo rais jaman?sisi tunachoshangaa ni matumizi hayabanwi na rais kwa swala hilo?kwani ulishasikia mtu akihoji fedha za huko ccm wanatumiaje?matumizi ya chama yawe ya chama na watafune wawezavyo lakini yasichanganywe na mambo ya nchi.so nakushangaa mtu mzima unahoji upupu.kama ni za chama let us know .
 
hivi kwani mbowe ndo rais jaman?sisi tunachoshangaa ni matumizi hayabanwi na rais kwa swala hilo?kwani ulishasikia mtu akihoji fedha za huko ccm wanatumiaje?matumizi ya chama yawe ya chama na watafune wawezavyo lakini yasichanganywe na mambo ya nchi.so nakushangaa mtu mzima unahoji upupu.kama ni za chama let us know .
Wewe una akili za Mwendo kasi, hujui kama ni kodi zetu hizo.!
 
Nakubalia
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Nakubaliana na tafakari yako. Haijawahi hata siku moja TANZANIA DAIMA kuandika CCM na hata serikali kwa ujumla wake in positive way.
 
Hela za walipa Kodi hizo we Unafikiri Kuuzaa Mashati ya CCM pale Lumumba kunatosha kupata 4 ;Billions
ruzuku ya ccm kutokana na wabunge ni sh ngapi kwa mwezi? viwanja vya mpira wanavyo vingapi inchini? acha unaa (in mrema's voice) ccm wana vyanzo vingi sio kuuza mashirt tu.
 
kwa vile ni kukabidhiana tu uenyekiti si JMK na JPM wangekutana wawili tu pale lumumba halafu wakabidhiane ili hizo njulugu zipelekwe kwenye madawati? ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom