esitena tetena
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 1,747
- 1,082
kwa vile ni kukabidhiana tu uenyekiti si JMK na JPM wangekutana tu pale lumumba halafu wakabidhiane kisha hizo njulugu zipelekwe kuchangia madawati?
ni mtazamo tu.
ni mtazamo tu.
hiyo helicopter ya bei hiyo ya aina gani?usiongee vitu usivyovijua we ongelea siasa maana huki ndio angalau akili yako inafanya kaziHelicopter kuanzia 300 Millions unapata so hashindwi kuwa nayo mafund wapo sana na pia helicopter mpya matengenezo sio saana
We ndo umeshindwa Kujiongeza we ulipo ambiwa kuanzia 300M hela za madafu means hapo nazungumzia Used nikasema Zikiwa mpya hazina service za ghalfa ghalfa Haya nawe Acha Kukurupuka Akili yako Finyuhiyo helicopter ya bei hiyo ya aina gani?usiongee vitu usivyovijua we ongelea siasa maana huki ndio angalau akili yako inafanya kazi
hili jarida limegeuka kuwa uhuru sasa.... ni habari za ccm tu....kweli ukiwa chaliiiii.....hivi uchaguzi lini wa chadema, cuf na nccr!
YENUUU INAYOGHARIMU BILION MBILI WAKATI MWENYEKTI MNAMJUA SIUHANITHI..SIBORA WAO WANABADILISHANA KILA.MIAKA KUMI NYIE MNAENDA MKOANI KABISA NA MASARE MKIJUA MWENYEKITI NIHUYU LOH HATA IWE BIL KUMI WAACHANENI
wameishaiba azina furani.Hela za walipa Kodi hizo we Unafikiri Kuuzaa Mashati ya CCM pale Lumumba kunatosha kupata 4 ;Billions