vizuri kwa marekebisho toa m tu ujumbe uliwafikia tanzania daima!Hakuna kitu kinaitwa mtanzania daima
Wewe ndiyo unaishusha chati maana umeposti malalamiko katika jukwaa lisilohusikaSasa hivi hata jamii forum inashuka sana chati kwa sababu ya kua na habari nyingi sana zisizo na uhakika tofauti na zamani ndo maana unakuta post viewer 4,570 replies 7
Acha kuaminishwa na kumezeshwa ujinga MKUU.....Changanya na zako KWANINI TANZANIA DAIMAHalafu tunataka maendeleo haha Tanzania shamba la bibi
Umeshawahi kuomba upewe taarifa ukanyimwa?Bora CCM huwa wanajaribu kuweka wazi matumizi yao hata kama ya uongo ama ya ufujaji, lakini Chadema tunasikia tu kuna kikao kanda ya ziwa, hatujawahi kuambiwa gharama wala anaegharamia wala anaelipa hizo gharama.
Mbowe ndio kila kitu.!
hivi hizi hekaheka zinatusaidiaje wananchi?ningefurahi sana kama mambo ya chama yangetenganishwa na mambo ya nchi regardless mtawala.haipendezi mambo ya chama kutumia fedha za wananchi.chama wawe na miradi yao ya kujiendesha kama chama na si kodi za wananchi hata kama watatumia sh 1000 achana na HIYO BIL 4
Kwa kukokotoa zawenzenu hamjambo
Mtuambie na ninyi
Pesa za vibakuli mlizitumia vipi
Nazilikuwa sh. Ngapi?
Hivi hapa ile slogan ya kubana matumiz haiusiki ama ni for special cases?Umeshawahi kuomba upewe taarifa ukanyimwa?
Hawawezi JIBU HILI MKUU.......kuna watu wapiga DILI HAPA MJINI....ni balaaaKwa kukokotoa zawenzenu hamjambo
Mtuambie na ninyi
Pesa za vibakuli mlizitumia vipi
Nazilikuwa sh. Ngapi?
Source inajulikana ila matumizi hayajulikani HUU si NI WIZI KABSAHayo mabakuli michango inafika bilioni! Hata hivyo ni afadhali source inayojulikana kuliko isiyojulikana, mpaka tuje kujua zilikuwa zinatoka wapi tumeshaliwa mh.