Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Mkutano wa CCM Dodoma kugharimu Bilioni 4/-

Subiri muone ..hizi zitakuwa ni chenchi ya lugumi
 
Haya ni magazeti ya udaku wa siasa

upload_2016-7-18_9-37-46.jpeg
 
Bora CCM huwa wanajaribu kuweka wazi matumizi yao hata kama ya uongo ama ya ufujaji, lakini Chadema tunasikia tu kuna kikao kanda ya ziwa, hatujawahi kuambiwa gharama wala anaegharamia wala anaelipa hizo gharama.

Mbowe ndio kila kitu.!
 
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Lakini pia yeye anauwezo wa kuidhinisha pesa hizo zitumike au zipunguzwe
 
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Wewe ndo unaukakasi
 
billion 4 kwa gvt ni kama mia nne tu
Masikini Mtanzania, aliyekwambia govumenti ina pesa ni nani ...au husikii kila siku wanasema nchi yetu ni masikini!?
Ngoja tusubiri, labda JPM akifika pale anaweza kuamrisha hizo pesa zipelekwa kwenye sekta nyingine zikafanya maendeleo ya maana kama alivyofanya kwenye ujenzi wa barabara za Morocco, Pasiansi na NEC.
 
Hiyo gharama ni pamoja na ule msafara wa policcm
 
Bilion 4 serikali hii wanajua sana kubana matumizi
Ovaaaa
 
Jpm hana Ubavu wa kubana matumizi kwa chichiem,hakuna watu warohooo na walafi +wapigaji+wabinafsi Kama chichiem.....

Ovaaaa
 
Jpm hana Ubavu wa kubana matumizi kwa chichiem,hakuna watu warohooo na walafi +wapigaji+wabinafsi Kama chichiem.....

Ovaaaa
Wanatumbua tu KODI za walala hoi...
 
Hivi chukulia mfano Uhuru waandike hbr za chadema, wataandika uhalisia kweli?

Nimeuliza, kwa nini gazeti lutumie JPM badala ya Ccm? Mkutano ni wa ccm au wa magufuri? Huoni tu mpaka hapo kuna ukakasi?
Ukakasi gani! hutaki kuelezwa ukweli???
 
Back
Top Bottom