Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Tangu lini mtu anaposali au anaposwali asimkee shetani au ibilisi!!?

lakini pia mkumbushe kwamba hatujaanza kampeni za urais kama mafisiemu usisahau kumwambia kua hiyo ni OPERATION DELETE CCM ndo maana kasikia sisiemu nyingi, najua ameropoka tu hakujua maana ya ule mkutano asante
 
lisu anahutubia sasa

Inashangaza na kutia aibu, hadi leo watu wanaongelea EPA....

Tell us the future, mna nn..!? UKAWA wote hamna hata mmoja nimesikia AKISISITIZA TUKIPATA NCHI TUMEPANGA KUWAFANYIA 1, 2, 3, .......etc

Ila UKAWA wakifungua mdogo, neno la kwanza CCM, la pili CCM, la tatu CCM...ebo, manyoko zenu, hamna kitu mtatupeleka shimoni...!!!

Hv mtu kama huyo Salum Mwalimu, mtu anayemwelewa na kujielewa, huwezi msikiliza, upuuzi tu...!!!

Hivi umapotaka leo UKAWA waseme wakiingia Ikulu watafanya nini, kwani kampeni zimeanza?? Hii ni operation FUTA DELETE KABISA CCM. Hivyo nilazima Ccm itajwe sana kama mchungaji anapo kemea pepo humtaja sana shetani. Na shetani anaekemewa na UKAWA ni Ccm ukoo wa panya
 
Inashangaza na kutia aibu, hadi leo watu wanaongelea EPA....

Tell us the future, mna nn..!? UKAWA wote hamna hata mmoja nimesikia AKISISITIZA TUKIPATA NCHI TUMEPANGA KUWAFANYIA 1, 2, 3, .......etc

Ila UKAWA wakifungua mdogo, neno la kwanza CCM, la pili CCM, la tatu CCM...ebo, manyoko zenu, hamna kitu mtatupeleka shimoni...!!!

Hv mtu kama huyo Salum Mwalimu, mtu anayemwelewa na kujielewa, huwezi msikiliza, upuuzi tu...!!!

tatizo lako ulikimbia shule hata kuandika ni shida!
 
Mkuu,upo sahihi! Toka vyama vingi vianzishwe sijawahi kushuhudia CDM na vyama vinavyounda UKAWA vikiwa vimejiandaa kikamilifu na uchaguzi wa serikali za mitaa kama sasa.hakika saa ya ukombozi imefika na hapa kwetu mamlaka ya mji mdogo tunaisubiri ikabidhiwe kwa ukawa hapo december

ni kweli kamanda...
 
Sasa akitoa kauli Nape sio ccm ila ni Nape
Acha mbwembwe hapo Nape anahusika na nini? soma heading ".....wabunge wote wa UKAWA watinga mkutanoni? ...
Wakati post zote zinataja wabunge wa CHADEMA ndio wamepanda jukwaani, au UKAWA imekuwa CHADEMA? Au kinyume chake?
 
Hivi umapotaka leo UKAWA waseme wakiingia Ikulu watafanya nini, kwani kampeni zimeanza?? Hii ni operation FUTA DELETE KABISA CCM. Hivyo nilazima Ccm itajwe sana kama mchungaji anapo kemea pepo humtaja sana shetani. Na shetani anaekemewa na UKAWA ni Ccm ukoo wa panya
hivi
Hii "futa delete ccm" ni slogan ya UKAWA au CHADEMA
 
Hivi umapotaka leo UKAWA waseme wakiingia Ikulu watafanya nini, kwani kampeni zimeanza?? Hii ni operation FUTA DELETE KABISA CCM. Hivyo nilazima Ccm itajwe sana kama mchungaji anapo kemea pepo humtaja sana shetani. Na shetani anaekemewa na UKAWA ni Ccm ukoo wa panya
Majuha mko wengi kweli kwenye hii nchi ccm itaondolewa kwa hoja mbadala siyo uropokaji na matusi manizenu tumechoka na siasa zenu za kishamba hatuoni hoja mbadala kelele tu kila kukicha.
 
Huyo ndio bogus....his IQ iko ICU...UKAWA hamna sera wala mipango at all, nyie policies & plans zenu NI all NEGATIVES TO CCM....

Tangazeni mipango na sera zenu, mtawafanyia nn wananchi mkipewa nchi, mjinadi hivyo kwa wananchi....

UKAWA hovyo kweli...hamna dira, hata sasa hv nikiwaambia leteni sera na mipango yenu mnayotarajia kuwafanyia wananchi HAMNA....

Mnaongea tu kama mko bar kila mtu CCM mbaya, CCM imekufa, CCM kifo cha mende, CCM mafisadi, cjui nn.....


Tuambieni mtalifanyia nn taifa letu, tunataka sera na mipango yenu, dira n.k....acheni ULEVI...!!!

Sio mda wa kampeni soma alama za nyakati
 
Chadema wanapora wanachama wa CUF kwa mgongo wa Ukawa. Sasa hivi Chadema wanajipenyeza Zanzibar kwa kutumia mgongo wa Cuf. Lipumba na usomi wake wote Chadema wamemuingiza choo cha kike.

Yaani katika kuwaza kwako kote hili ndio umeliona?
 
Back
Top Bottom