Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Kitu kizuri na muhimu ni kwamba tunaenda Kwenye mwaka huu wa uchaguzi tukiwa tumejiandaa vilivyo kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanzishwa Kwa vyama vya siasa nchini...tUtakwenda serikali za mitaa, kura za maoni, uchaguzi Mkuu tukiwa wamoja Kama UKAWA haijawahi kutokea

Mkuu,upo sahihi! Toka vyama vingi vianzishwe sijawahi kushuhudia CDM na vyama vinavyounda UKAWA vikiwa vimejiandaa kikamilifu na uchaguzi wa serikali za mitaa kama sasa.hakika saa ya ukombozi imefika na hapa kwetu mamlaka ya mji mdogo tunaisubiri ikabidhiwe kwa ukawa hapo december
 
Wekeni picha kwa ushaidi au bila chenga. Crashwise tupia picha
 
Ukawa go go go futa delete ccm dodoma
 
lisu anasema amechelewa alikuwa anaandaa document kwa ajiri ya kikao cha bunge , anasema kuanzia kesho bunge litawaka moto hadi siku ya kumaliza bunge. nahisi escrow hiyo
 
Chadema wanapora wanachama wa CUF kwa mgongo wa Ukawa. Sasa hivi Chadema wanajipenyeza Zanzibar kwa kutumia mgongo wa Cuf. Lipumba na usomi wake wote Chadema wamemuingiza choo cha kike.
 
Chadema wanapora wanachama wa CUF kwa mgongo wa Ukawa. Sasa hivi Chadema wanajipenyeza Zanzibar kwa kutumia mgongo wa Cuf. Lipumba na usomi wake wote Chadema wamemuingiza choo cha kike.

Maumivu ya kichwa uanza taratibu ila ukiwahi hospitali unaweza kupona ..pole!
 
Chadema wanapora wanachama wa CUF kwa mgongo wa Ukawa. Sasa hivi Chadema wanajipenyeza Zanzibar kwa kutumia mgongo wa Cuf. Lipumba na usomi wake wote Chadema wamemuingiza choo cha kike.
Haya ni maneno ya kwenye khanga usituletee huku, kama huna hoja tulia msumari uwaingie

 
Leo Dodoma na vitongoji vyake inaenda kusimama kwa muda kufuatia mkutano mkubwa wa UKAWA. Wasemaji wakuu wakiwa rais wa mioyo ya watu dr. slaa,Mnyika,Salumu Mwalimu na wabunge wote wa UKAWA.

Nitakuwa nikiwaletea kila kinachojiri.

===== Updates =====

Maandalizi bado yanaendelea na watu wanaendelea kuingia uwanjani.

chadema au ukawa?
 
salum mwl anahutubia sasa


Huyo ndio bogus....his IQ iko ICU...UKAWA hamna sera wala mipango at all, nyie policies & plans zenu NI all NEGATIVES TO CCM....

Tangazeni mipango na sera zenu, mtawafanyia nn wananchi mkipewa nchi, mjinadi hivyo kwa wananchi....

UKAWA hovyo kweli...hamna dira, hata sasa hv nikiwaambia leteni sera na mipango yenu mnayotarajia kuwafanyia wananchi HAMNA....

Mnaongea tu kama mko bar kila mtu CCM mbaya, CCM imekufa, CCM kifo cha mende, CCM mafisadi, cjui nn.....


Tuambieni mtalifanyia nn taifa letu, tunataka sera na mipango yenu, dira n.k....acheni ULEVI...!!!
 
Mbona wasemaji wote ni kutoka chadema?


[QUOTELizaboni = Weka picha basi [QUOTELizaboni = Huo mkutano unafanyika kwenye viwanja gani?
[QUOTELizaboni= Mkutano unaanza saa nyapi?

Mkuu kunayo shida? :confused2:
 
moods mbona picha zangu hamziweki hewani? . Slaa anasema anataka kuwa raisi anayeongoza kwa kufuata sheria siyo huyu wa sasa hafuati sheria.

Anamtaja kinana anasafirisha pembe za ndovu nje.

vilevile anasema jaji mkuu amezuia mjadala wa escrow kwa kudai kuwa suala hilo limesha enda mahakamani. anamwambia jaji mkuu aeleze wananchi fedha alizopewa ni za nini
 
Back
Top Bottom