Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

aahaa wapiga dili wapo dodoma na hizo kodi na wao si wanalipwa kutokana na hiyo kodi
 
Inashangaza na kutia aibu, hadi leo watu wanaongelea EPA....

Tell us the future, mna nn..!? UKAWA wote hamna hata mmoja nimesikia AKISISITIZA TUKIPATA NCHI TUMEPANGA KUWAFANYIA 1, 2, 3, .......etc

Ila UKAWA wakifungua mdogo, neno la kwanza CCM, la pili CCM, la tatu CCM...ebo, manyoko zenu, hamna kitu mtatupeleka shimoni...!!!

Hv mtu kama huyo Salum Mwalimu, mtu anayemwelewa na kujielewa, huwezi msikiliza, upuuzi tu...!!!
 
Hakika sasa naamini saa ya ukombozi imefika. Dodoma ngome ya CCM inachakazwa vibaya na UKAWA.

go go go CHADEMA, go go go UKAWA
 
moods nimezituma picha ziwekeni hewani

Mods siku hizi kama wanapendelea habari fulani hivi...nimeanzisha uzi wa majibizano Kati ya mdee na Prof Tibaijuka wameufuta.....hizo picha wanaeza kuzipotezea pia
 
Inashangaza na kutia aibu, hadi leo watu wanaongelea EPA....

Tell us the future, mna nn..!? UKAWA wote hamna hata mmoja nimesikia AKISISITIZA TUKIPATA NCHI TUMEPANGA KUWAFANYIA 1, 2, 3, .......etc

Ila UKAWA wakifungua mdogo, neno la kwanza CCM, la pili CCM, la tatu CCM...ebo, manyoko zenu, hamna kitu mtatupeleka shimoni...!!!

Hv mtu kama huyo Salum Mwalimu, mtu anayemwelewa na kujielewa, huwezi msikiliza, upuuzi tu...!!!
Adui yetu lazima tumtangaze mpaka atakapoondoka au kuondolewa, nhi hii haisongi mbele kwa sababu ya ufisadi...upo hapo, CCM wanauza hii nchi kwa wawekezaji kwa bei poa....., kunapotokea tatizo lolote watu ulitangaza kama tatizo kwa jamii husika. mfano Ebola ni tatizo dunia nzima ikiwemo tanzania wanatangaza kuwa ni tatizo. Sasa tatizo linalotangazwa duniani ni ufisadi na rushwa kwenye nchi hii..(refer Aljazeera TV), Wameeleza kinagaubaga jinsi nchi hii ilivyogubikwa na rushwa mpaka rais wa china anakuja kuchukua meno ya tembo nk. Sasa kama unataka mataifa ya nje yatusemehe ufisadi uliopo hapa na sisi tunyamaze kimya nadhani ni upeo tu wa akili yako. Kwa hiyo kama tatizo kubwa ni ufisadi na wanamagezi wetu wanasema wakiin gia madarakani watasafisha huo uozo wa ufisadi..wewe unasema hawana jipya..pia hapo wewe ni upeo wako. Unahitaji kukombolewa kifkra kwanza then uje hapa JF tujadili mambo ya msingi.

 
Chadema wanapora wanachama wa CUF kwa mgongo wa Ukawa. Sasa hivi Chadema wanajipenyeza Zanzibar kwa kutumia mgongo wa Cuf. Lipumba na usomi wake wote Chadema wamemuingiza choo cha kike.

CCM ina hali mbaya kweli,sasa huyu naye kwa iq yake ndogo ameaminiwa kufanya kazi ya propaganda na analipwa kweli? Ningekuwa nepi nisingeajiri vilaza kama wewe
 
Mods siku hizi kama wanapendelea habari fulani hivi...nimeanzisha uzi wa majibizano Kati ya mdee na Prof Tibaijuka wameufuta.....hizo picha wanaeza kuzipotezea pia

Jamani hawa mods wana nini? Au wanataka wazichakachue picha ndio waziweke?
 
Habari nyingine njema imetokea HAPA MJINI MAGU, Hii inamuhusu mwenyeketi wa ccm mkoa Ndg Dialo ambaye pamoja na kuja na chopa lakini ameshindwa kufanya mkutano baada ya wananchi kutohudhuria mkutano wake.HILI NI ONYO KWA MAGAMBA NA UJUMBE TOSHA KUWA UKOMBOZI UPO MLANGONI! PEOPLEZZZZZ
 
nimeushuhudia pia dr slaa asema yafuatayo
1. kunameri imekamatwa na meno ya tembo bandalini ikiwa document zimesainiwa na mke wa katibu mkuu wa CCM taifa mr Kinana,,
2. Amesema pia viongoz weng wa ngaz za juu wapo dodoma bungeni akiwemo jaji mkuu na Hosea katika dhana ya kuiondoa hoja ya pesa za IPTL
3. serikali imeagiza helicopta 12 ufaransa kinyemela bila kujulisha bunge na 6 ziwe tayar zimewasil decemba hii kabla ya uchaguz
4. tamisemi imeweka kipengele kigumu kwa wagombe wa vijiji na vitongoj kwan lazma awe na mdhamin toka makao makuu ikienda kinyume na katiba za vyama
hayo ni baadhi wadau aliosema dr slaa
 
Inashangaza na kutia aibu, hadi leo watu wanaongelea EPA....

Tell us the future, mna nn..!? UKAWA wote hamna hata mmoja nimesikia AKISISITIZA TUKIPATA NCHI TUMEPANGA KUWAFANYIA 1, 2, 3, .......etc

Ila UKAWA wakifungua mdogo, neno la kwanza CCM, la pili CCM, la tatu CCM...ebo, manyoko zenu, hamna kitu mtatupeleka shimoni...!!!

Hv mtu kama huyo Salum Mwalimu, mtu anayemwelewa na kujielewa, huwezi msikiliza, upuuzi tu...!!!

Tangu lini mtu anaposali au anaposwali asimkee shetani au ibilisi!!?
 
Jamani hawa mods wana nini? Au wanataka wazichakachue picha ndio waziweke?
Mamod wamefika bei kwa CCM siku hizi.Makada wa CCM wanatukana kila lakini wanadunda tu, ila wakiona wewe ni mwiba kwa CCM kwa kuweka hoja za nguvu utapigwa ban haraka halafu utaambiwa ni name calling.
 
jamani kwa kile nilichokiona leo kwenye mkutano wa ukawa dodoma ccm ikishinda mwakani nitatembea uchi cku tatu
 
Back
Top Bottom