Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

CCM mwaka huu lazima wanyee ndoo! kudadadadek!!!
 
Hapa sasa hivi atafika Lizaboni, simiyu yetu, laki si pesa, Faizal fox, sasa hivi...
 
Asante sana Kamanda Crashwise habari za muhimu sana kipindi kama hiki tupo pamoja kwenye kudelete kamanda
 
Anazungumza Suzan Lyimo sasa na chopa ndo inatikisa anga za Mji wa Dodoma tayari kuelekea kutua uwanjani haoa
 
Amewaambia watu wa Dodoma wakiendelea kuichagua CCM kodi zao zitaendele kuliwa huku wananchi wa maeneo mengine Kama jimboni kwake wakiendelea kunufaika Kwa uwakikishi mzuri

Nani huyo?
 
Nasikia tangazo linatolewa kuwa wabunge watachelewa kufika kwa vile bado wanasain kwanza mahudhurio kule bungen kwa ajili ya Posho.
Kudadeki, safi sana wabunge UKAWA, Posho kwanza mengine baadae!
 
Mkuu tuma picha tujioneee umma wa mji mkuu Tanzania
 
Hapa sasa hivi atafika Lizaboni, simiyu yetu, laki si pesa, Faizal fox, sasa hivi...

Sijawaona leo kwenye majukwaa labda zile buku 7, 7 hawajapewa . Si unajua pesa mbele.

Any way wakija kabla ya kusema chochote watuambie mitazamo yao kuhusu Billioni 300 za IPTL Kwanza
 
Mbona wanaongea wajumbe wa UKAWA - CHADEMA pekee? Hawa wengine wa NCCR na CUF wapo wapi?
 
Halmashauri ya mwanza wametafuna bl 43 na sasa wanakomaa kukusanya zingine
 
Back
Top Bottom