Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Hahahahaaaaaaa! Mnajidanganya sana. Wabunge gani ambao wapo kwenye mkutano huo? Acha kupotosha
 
Kitu kizuri na muhimu ni kwamba tunaenda Kwenye mwaka huu wa uchaguzi tukiwa tumejiandaa vilivyo kuliko wakati mwingine wowote tangu kuanzishwa Kwa vyama vya siasa nchini...tUtakwenda serikali za mitaa, kura za maoni, uchaguzi Mkuu tukiwa wamoja Kama UKAWA haijawahi kutokea
 
Kuanzia sasa hadi Oktoba 31 mwaka kesho tumeshaanza uchaguzi. Asiwaambie mtu kuwa kampeni za 2015 hazijaanza. Zimeshaanza...
 
Kuanzia sasa hadi Oktoba 31 mwaka kesho tumeshaanza uchaguzi. Asiwaambie mtu kuwa kampeni za 2015 hazijaanza. Zimeshaanza...
Hahahahahaaaaaaa! Kwani kampeni za kuifuta ccm ndo za uchaguzi?
 
Serikali za Mitaa itakuwa Ni kampeni za uchaguzi Mkuu, kura ya maoni ya katiba iliyochakachuliwa ni kampeni za uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom