BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 557
ccm itaondolewa kwa hoja siyo uropokaji
UNAJUA UKUTA WA YERIKO ULIANGUSHWA KWA MAKELELE TU ?!
ccm itaondolewa kwa hoja siyo uropokaji
UNAJUA UKUTA WA YERIKO ULIANGUSHWA KWA MAKELELE TU ?!
Majuha mko wengi kweli kwenye hii nchi ccm itaondolewa kwa hoja mbadala siyo uropokaji na matusi manizenu tumechoka na siasa zenu za kishamba hatuoni hoja mbadala kelele tu kila kukicha.
Mbona wasemaji wote ni kutoka chadema?