Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Hapa Dodoma wananchi hawaijui chadema, ukawa wala gazeti la Tanzania Daima!! Mnajisumbua bure...


Sawa tumekusikia ngoja tushuhudie wenyewe mkutano utakavyokuwa mana kwa mjibu wako hatutapata watu
 
Hapa Dodoma wananchi hawaijui chadema, ukawa wala gazeti la Tanzania Daima!! Mnajisumbua bure...

Hata wapagani hawakulijua neno la mungu lakini walipohubiriwa walilipokea na leo ndiyo wewe na mimi ni wakristu/waislam.go go ukawa proclaim the redemption of New Tanzania
 
Tupe ushahidi hapa....ina maana toka saa tisa mpaka muda huu hamjaanza mkutano???

Wana Dodoma watawaumbua.....
 
Wabunge wote wa UKAWA walioko Dodoma wamehudhuria mkutano wa Dkt. Slaa viwanja vya Barafu. Tayari wameshaketi jukwaa kuu na wanapanda mmoja mmoja kutema cheche...ameshapiga Susan Kiwanga na Cecilia Pareso.

Peter Msigwa:

Anahoji Rais anasemaje amechoka! Kwani nani alimtuma kugombea urais wakati anajua ni miaka 5 na akaomba tena kuongezwa miaka 5...Mkuu wa nchi ambaye haamini katika system ya afya ya nchi yake kisha anataka kuendelea kuwa jemadari.

Anawaambia Dodoma watuondolee aibu. Maneno yote yatakayosemwa majukwaani yatakuwa hayana maana kama hawatajiandikisha

update: Masoud Abdallah Salim anapanda sasa
 
Wameshapanda Grace Kiwelu na Joseph Selasini wamepiga nondo za Katiba Mpya na namna CCM ilivyoshindwa...sasa anapiga David Silinde anasema Dodoma waunge Mkono UKAWA.
Anasema UKAWA ndiyo mwendo Kwa sasa CCM watauona moto
 
Amewaambia watu wa Dodoma wakiendelea kuichagua CCM kodi zao zitaendele kuliwa huku wananchi wa maeneo mengine Kama jimboni kwake wakiendelea kunufaika Kwa uwakikishi mzuri
 
Hapa Dodoma wananchi hawaijui chadema, ukawa wala gazeti la Tanzania Daima!! Mnajisumbua bure...

ninyi ndio maskini kuliko wananchi wa mikoa yote hapa tz , na ndio mnaongoza kwa omba omba hapa dar. unajisifia ujinga
 
Back
Top Bottom