Emashilla
Senior Member
- May 24, 2012
- 138
- 26
Power! Upo hapo?
MKUTANO MKUBWA WA CHADEMA SIKU YA JUMAMOSI 15 SEPTEMBA, 2012 PALE MJI MWEMA USA-RIVER KARIBU NA LEGANGA SHULE YA MSINGI. Kamanda Dogo Janja na Makamanda wengine na sisi makamanda wa anga za chini tupo kwa kuvua na kuchuna magamba kwa kwenda mbele hadi kieleweke.
TUMA UJUMBE HUU KWA WANANCHI! ASANTE.
Source: Kamanda Paul, S.T.
Kaimu Mwenyekiti wa Kata, Usa-River
Meru, Arusha, Tanzania