Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

Field Ni kugumu Sana kwa ccm hasa zama hizi ambapo vijana wanaongezeka wazee wanapungua
CCM wametengeneza wenyewe upinzani,kwakudumaza uchumi wa nchi hasa kipato cha mtu mmoja mmoja huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono 'also it is a result of one man band show,that has caused alot of uncertainties in this country '
 
Hiyo ndio wanasema ndio tume huru,
Huyo mkurugenzi mpaka hapo anatakiwa ajiuzuru , hana sifa ya kua kwenye nafasi hiyo
 
Kama alikuwa hafai kwa nini walimteua? wote walioteuliwa na tume wanafaa kuwa rais wetu kama hafai basi tume ijiuzuru.
 
Watanzania hawataki bra bra

Bra bra ndio nini?
 
watawala wameshapanic sana, Magu keshalegea kulegea sana, Bashiru anawatisha tu wanaCCM, PolePole anavurumisha matusi, Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi ameingia kupiga kampeni
Bado spana za Serengenti hazijajibiwa kbs Mwaka kila maenye rangi yake tutamjua hadi tar27 ,
 
Wanasheria chukueni taadhari,kuna haja ya Ku-note sehemu flani kwa msaada wa baadae ikibidi. Pia kama kuna mtu mwenye video crip ya huyu bwana kada wa CCM aliye jivika ngozi ya NEC tunaiomba hapa pls.
Kwa sasa madini wanauziwa nani kwani no chakula at hage ufala na yeye madini yanachimbwa na wageni na ndo wanayapeleka nje anadhani wabongo hawajui Halafu mbona kama ni mkampeni wa magu
 
Wanasheria chukueni taadhari,kuna haja ya Ku-note sehemu flani kwa msaada wa baadae ikibidi. Pia kama kuna mtu mwenye video crip ya huyu bwana kada wa CCM aliye jivika ngozi ya NEC tunaiomba hapa pls.
Huyo awe wazi na aainishe ratiba yake ya kampeni na atuambia chama chake ,na amazindua lini,kampeni zake na Kama kina usajili. Napia atuambie ni ameacha jukumu la msingi alilopewa.? Kama mbeleko pia atuambie?
 
Utadhani Lisu akiingia hatajenga barabara wala vituo vya afya kwamba hivyo ndo vitu vya msingi karne 21 na miaka karibu 60 ya chama Tawala ni aibu kubwa kwa Tume ya uchaguzi
 
You can count on me too, Ni Yeye!...all votes to Mh. Tundu Antiphas Lissu! The country bumpkin has to go!
 
Kwani ccm saivi wanauza madini chato, au Ni huko huko kwa wageni nje?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…