spinderella
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,392
- 1,897
Duh, pole sana! Mm shemeji yangu alilazwa pale siku 5 bila kupatiwa hata kidonge mpaka alipofariki. Ilitubidi ss wenyewe tumpelekee tu dawa zake alizokuwa anatumia ili aendelee nazo. Mtu anatatizo la kupumua hata oxygen hakuwekewa. Alifariki usiku, wagonjwa jirani walisema alibanwa sana na pumzi walipiga sana kengele kumwita nesi hakuna aliyetokea mpaka aka collapse. Tuliishia kulipa 700,000/= ya kitanda utafikiri alikuwa kwenye 5 star hotel. Halafu not a wodi hizi za wengi kulipa hizi za watu watatu kwenye chumba peke yenu wote mko hoi wa kumsaidia mwenzie hakuna mnakufa huko chumbani wanawakuta mmekauka. Inauma sana!