Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete tafadhali ona hili...

Mimi nilikua na mgonjwa pale alikua kalazwa wodini tena kahudumiwa vizuri sana na sasa anaendelea vyema nyumbani hii ni kutokana na huduma nzuri na madaktari walivyojitoa kuokoa uhai wa mgonjwa wetu No research no right to speak! Tumwogope Mungu

Kuna watu wana macho hayaoni
Badala ya kupongeza kazi kubwa ya
Madokta wetu wazalendo tunajifanya vipofu.
we mdada umesoma thread vizuri ebu rudia usome vizuri
mtoa mada Hao madoctor amewasifu kuwa wapo vizuri na zaidi amewapongeza kwa kujitahidi kwa huduma nzuri
shida mpaka kaleta malalamiko hapa hiko kwa MANESI
mm nishashuudia hosptari ya BAGAMOYO docta kamtia kibao nesi kutokana kile kilichoonekana amemuhalibia status kwa fault zake za kijinga
hivyo MADOCTOR siku zote hawana shida kabisa na hujitahidigi kadri ya uwezo wao
kimbembe kipo kwa MANESI
ni hivyo kabisa ndo huwa wanaharibu STATUS za hosptari za serikali
 
we mdada umesoma thread vizuri ebu rudia usome vizuri
mtoa mada Hao madoctor amewasifu kuwa wapo vizuri na zaidi amewapongeza kwa kujitahidi kwa huduma nzuri
shida mpaka kaleta malalamiko hapa hiko kwa MANESI
mm nishashuudia hosptari ya BAGAMOYO docta kamtia kibao nesi kutokana kile kilichoonekana amemuhalibia status kwa fault zake za kijinga
hivyo MADOCTOR siku zote hawana shida kabisa na hujitahidigi kadri ya uwezo wao
kimbembe kipo kwa MANESI
ni hivyo kabisa ndo huwa wanaharibu STATUS za hosptari za serikali

Na wewe soma post zangu vizuri utanielewa! Nimesema kuna watu......
 
we mdada umesoma thread vizuri ebu rudia usome vizuri
mtoa mada Hao madoctor amewasifu kuwa wapo vizuri na zaidi amewapongeza kwa kujitahidi kwa huduma nzuri
shida mpaka kaleta malalamiko hapa hiko kwa MANESI
mm nishashuudia hosptari ya BAGAMOYO docta kamtia kibao nesi kutokana kile kilichoonekana amemuhalibia status kwa fault zake za kijinga
hivyo MADOCTOR siku zote hawana shida kabisa na hujitahidigi kadri ya uwezo wao
kimbembe kipo kwa MANESI
ni hivyo kabisa ndo huwa wanaharibu STATUS za hosptari za serikali
Achana nae, IQ sifuri.
 
Mimi nilikua na mgonjwa pale alikua kalazwa wodini tena kahudumiwa vizuri sana na sasa anaendelea vyema nyumbani hii ni kutokana na huduma nzuri na madaktari walivyojitoa kuokoa uhai wa mgonjwa wetu No research no right to speak! Tumwogope Mungu
...kwa hiyo wewe umefanya research ndo unaongea wewe umeleta uzoefu wako...na yeye katoa uzoefu wake...kwa nini usiheshimu observation yake
 
Wewe unakimbilia ku- attack personality yangu hii ni ishara tosha kuwa unaniogopa! Sipendi ujinga
 
Pale siyo sehemu salama kabisa,mimi mgonjwa wangu alilazwa kwa siku tano na ni floor ya 3 kitanda tulilipa shiling 140,000/kwa siku.
Mbaya zaidi ni kuwa hatukuambiwa bei ya kitanda kwa siku,kwakuwa mgonjwa alihamishwa kutoka muhimbili.
Mpaka alipofariki ndiyo tukaambiwa bei,pia HAKUPATA DAWA YOYOTE,na niliongea na waliolala nae kwenye chumba hicho ambacho hata shuka zake zilikuwa zimepasuka na uniform zilizopauka nyeupe zenye mistari ya blue,wakaniambia wote wameandikiwa kufanaya kipimo kinaitwa ACG na hawakufanyiwa kwa zaidi ya siku nne,huyo mgonjwa alishindwa kupumua akaomba gesi wakawa wanamwambia wataleta mpaka akafa.
 
Dada ile taasisi kwa huduma wako vizuri sana!
We mpumbavu watu tumepoteza ndugu zetu pale,semea upande wako wa bahati siyo watu tuliokutana na madudu wakati wagonjwa wetu wamepokelewa vizuri na kitengo cha EMMERGENCY mpaka tuliona matumaini kabla ya kwenda motoni JKHI.
Manesi wanashindana kutuonyesha vikalio vyao tu,tumepoteza ndugu hapo wewe kunguni.
 
Lazima tuelewe na hili pia kwamba sio lazima
Mgonjwa wako ukimpeleka apone inategemeana alipelekwa akiwa katika hali gani saa nyingine mnaenda kuhitimisha tu pia wengine wanachelewa sana mgonjwa akiwa hali mbaya sana! Kusema kwamba mgonjwa kalala siku 5 asipatiwe huduma yoyote ni uongo! Mimi mbona mgonjwa wangu alitibiwa na uwezo wetu ulikua wa kawaida maana pale kuna wagonjwa wa rufaa na wale wa msamaha wanaotibiwa bure kabisa
Kwanini unakataa mambo ambayo wengine wamekutananayo?
 
Pale siyo sehemu salama kabisa,mimi mgonjwa wangu alilazwa kwa siku tano na ni floor ya 3 kitanda tulilipa shiling 140,000/kwa siku.
Mbaya zaidi ni kuwa hatukuambiwa bei ya kitanda kwa siku,kwakuwa mgonjwa alihamishwa kutoka muhimbili.
Mpaka alipofariki ndiyo tukaambiwa bei,pia HAKUPATA DAWA YOYOTE,na niliongea na waliolala nae kwenye chumba hicho ambacho hata shuka zake zilikuwa zimepasuka na uniform zilizopauka nyeupe zenye mistari ya blue,wakaniambia wote wameandikiwa kufanaya kipimo kinaitwa ACG na hawakufanyiwa kwa zaidi ya siku nne,huyo mgonjwa alishindwa kupumua akaomba gesi wakawa wanamwambia wataleta mpaka akafa.

Hiyo ni rufaa! Wewe na yule mwenzako wagonjwa wenu walilazwa siku 5 wakafariki! Story 1 maneno yale yale muwe mnakumbuka hata mnachoandika! Ukiwa muongo unapoteza kumbukumbu haraka sana.
 
We mpumbavu watu tumepoteza ndugu zetu pale,semea upande wako wa bahati siyo watu tuliokutana na madudu wakati wagonjwa wetu wamepokelewa vizuri na kitengo cha EMMERGENCY mpaka tuliona matumaini kabla ya kwenda motoni JKHI.
Manesi wanashindana kutuonyesha vikalio vyao tu,tumepoteza ndugu hapo wewe kunguni.

Naona akili inakuruka! Wewe makalio yanakuhusu nini jiheshimu acha tamaa!Kazi kutamani mambo yaliyo nje ya uwezo wako.
 
Naona unapotea mpaka akili inakuruka! Wewe makalio yanakuhusu nini jiheshimu acha tamaa!
Kwani wewe unadhani wagonjwa hawafanani siku za kukaa hospitali au siku za kufariki au siku za kutolewa au kuingia?usilazimishe watu wote wawe wamepata huduma kama uliyopata wewe.
Hapa tunasema kilichotukuta ili wengine wasaidiwe,acha ushetani,unaonekana unapenda damu,mbuzi we.
 
Back
Top Bottom