Caroline Hans
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 723
- 386
Kwani wewe unadhani wagonjwa hawafanani siku za kukaa hospitali au siku za kufariki au siku za kutolewa au kuingia?usilazimishe watu wote wawe wamepata huduma kama uliyopata wewe.
Hapa tunasema kilichotukuta ili wengine wasaidiwe,acha ushetani,unaonekana unapenda damu,mbuzi we.
Huko siko! Unahangaika sana rudi kwenye mada hili sio eneo la matusi na mipasho! Dhambi ya uongo huwa haimuachi mtu salama.