JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,177
- 7,472
Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, akizungumza na Wawakilishi wa Vyama 18 vya Siasa vitakavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kuhusu kupanga ratiba za kampeni zinazotarajiwa kufanyika nchi nzima kuanzia Agosti 28, 2025 hadi Oktoba 28, 2025.
Kikao hicho kimefanyika leo, tarehe 25 Agosti 2025, katika Ofisi za Tume zilizopo Njedengwa, jijini Dodoma.