🙄🙄Dah so sad Hilo eneo s mara ya kwanza kusikia linaleta maafa tahadhar ichukuliwe
Nb Kuna nafas 1 idara ya mifugo na moja idara ya afya serikal itangaze nafas hiz vijana wapo tu mtaan kaz hakuna
🙄🙄Dah so sad Hilo eneo s mara ya kwanza kusikia linaleta maafa tahadhar ichukuliwe
Nb Kuna nafas 1 idara ya mifugo na moja idara ya afya serikal itangaze nafas hiz vijana wapo tu mtaan kaz hakuna
Kumbe ukichukua jiwe la, let's say, one tone ukalifungia boya lenye relative volume, halizami siyo!???Yaan hapo ambae hatakuelewa basi asitegemee kuja kumuelewa mtu yeyote maishani.
By the way,shukran kwa somo ulotupatia
Kuna Uzi wa namna ulivonusurika kifo mkuu..Maji nayaogopa
Niliwahi sombwa na Noah nilipolazimisha pita, gari ikajizima, nikawasha ikakata moto, steering ikawa ngumu kinyama, kilichoniokoa ni vioo sikufunga.
Tokea hapo hata mvua ikinyesha nahisi harufu ya kifo kifo
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Halafu gari lenyewe ni Nissan gari la kuaminika, sijui ingekuwa Passo ingekuwajeGari kwenye maji sio la kuamini kabisa,halina nguvu yoyote,Pole kwa wafiwa
Aisee! BAVICHA ni BAVICHA tu. Hivi majuzijuzi tu mmeimba weee na kusema madaraja hayana faida maana si maendeleo!??? Hivi nyie mna vichwa vya kampeni na vichwa vya kampani!??? Kwenye kampeni mna moja kichwani, halafu mkiwa kwenye kampani za maendeleo, mnasahau mlikuwa mmekopa!??? Nyie woooote pamoja na Mr Mzungu wenu aliyetimkia kusikojulikana Belgium ni bure na robo.Wamenunua madege wameshindwa kujenga madaraja...mitano tena
Natambua kuna nadharia (theory) & vitendo (practicals). Tukibishana bila real facts tutakuwa, as a renown Kenyan Senator Kihika recently puts it, ^Stupid idiots!^Ukilifunga kwa juu halizami kamwe
Aisee,walikuwa bado vijanaView attachment 1718686
Hao ndio waliofaliki
Ngoja siku akikuambia uviabudu ndipo utajua mwanadamu katu hawezi kuwa the sole source of knowledge and truth. And, you really believed him!??? You should have asked him maswali mawili matatu: How did he know!??? Why fire and water only!??? By the way, destructive agents za Mungu husharidi (ni beyond) fire and water. And, the fact is, the ready agents at His disposal ni countless --- almost anything, just name it!Kuna mzee mmoja aliniambia ukiota ndoto inayohusu maji au moto ni ujumbe kuhusu maisha yako. Maji na moto ndiyo vitu pekee Mwenyezi Mungu alivitumia kuiadhibu dunia. Moto kule Sodoma na maji enzi za Nuhu.
Gari kwenye maji sio la kuamini kabisa,halina nguvu yoyote,Pole kwa wafiwa
I am afraid this and similar statements usually proceed from such individuals. They are blind naive at best & irredeemable hypocrits at worst. Sorry for you!I'll never be a stupid idiots in such way.
Anakwambia hii ni 4WD wewe haikwamii hiiUbishi tu kama kawaida ya mwanadamu --- hasa nyie men. Isijekuta mkewe alimwambia mara mbili2 warudi, lakini sasa mnayo slogan ya kutoshindwa kitu. Haya ndiyo matokeo sasa. Kwa mwoga huenda kicheko; kwa shujaa huzuni. Hapa ndipo ile debate ya ^Money is better than education,^ inaaplai.
Pole. Maji yalikuwa mengi kiasi gani? I mean yalifikia gari sehemu gani kwenye tairi?Maji nayaogopa
Niliwahi sombwa na Noah nilipolazimisha pita, gari ikajizima, nikawasha ikakata moto, steering ikawa ngumu kinyama, kilichoniokoa ni vioo sikufunga.
Tokea hapo hata mvua ikinyesha nahisi harufu ya kifo kifo
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Waache wajazane ujinga kiongozi. Ingekuwa maji kidogo tu yanazoa gari bila hata ya kujali vitu kama kasi yake madereva was ingekuwa wanajaribu kuvuka. Kuna maji yanavukika vizuri tu. Muhimu zingatia gari lako. Hivi kazi ya mikonga ni nini katika baadhi ya magari?Kumbe ukichukua jiwe la, let's say, one tone ukalifungia boya lenye relative volume, halizami siyo!???
Waache wajazane ujinga kiongozi. Ingekuwa maji kidogo tu yanazoa gari bila hata ya kujali vitu kama kasi yake madereva was ingekuwa wanajaribu kuvuka. Kuna maji yanavukika vizuri tu. Muhimu zingatia gari lako. Hivi kazi ya mikonga ni nini katika baadhi ya magari?
Mkuu inategemea,tusikalili ,ndoto zina ujumbe mahsusi,sio tu ukilala na kuota ndoto za maji au moto basi kuna kitu kibaya kitatokea,sikweli,Bali yakupasa kuitafakari ndoto husika.Kuna mzee mmoja aliniambia ukiota ndoto inayohusu maji au moto ni ujumbe kuhusu maisha yako. Maji na moto ndiyo vitu pekee Mwenyezi Mungu alivitumia kuiadhibu dunia. Moto kule Sodoma na maji enzi za Nuhu.