mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,459
- 2,989
Hii kesi ni ya mchongo.
Mke wa mkurugenzi alikuwa anapigwa na jamaa (ticha) ikatokea kutishiana kutaka kuoneshana ubabe kati ya muheshimiwa na ticha.
Na ni kweli muheshimiwa alikuwa anamkula house girl. Ndio ikapigwa counter attack akarekodiwa.
Hii kesi inaonesha imetengenezwa na wajanja kibabe.
Mke wa mkurugenzi alikuwa anapigwa na jamaa (ticha) ikatokea kutishiana kutaka kuoneshana ubabe kati ya muheshimiwa na ticha.
Na ni kweli muheshimiwa alikuwa anamkula house girl. Ndio ikapigwa counter attack akarekodiwa.
Hii kesi inaonesha imetengenezwa na wajanja kibabe.