Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji

Hii kesi ni ya mchongo.
Mke wa mkurugenzi alikuwa anapigwa na jamaa (ticha) ikatokea kutishiana kutaka kuoneshana ubabe kati ya muheshimiwa na ticha.
Na ni kweli muheshimiwa alikuwa anamkula house girl. Ndio ikapigwa counter attack akarekodiwa.
Hii kesi inaonesha imetengenezwa na wajanja kibabe.
 
Wanaokwenda Jela SIO wote wana hatia

Juzi kuna Mzee alichomekewa kesi ya ulawiti nikaambiwa nikamuhoji vizuri maana Polisi walishamkamata Mzee wa watu wakamtia ndani Safari mahakamani kwenye kumbana dogo akasema hajalawitiwa na huyo Mzee Ila Mama yake wa kufikia ndio alimpanga aseme hivyo sababu Mzee alikua anamtaka kimapenzi kwa hio akataka afungwe kwa kesi ya ulawiti Ila ukweli dogo hakua amelawitiwa, ndio baada ya kugundua hivyo zikafanywa process Mzee akaachiwa

Usicheze na Mwanamke
Huyu mwanamke alifunguliwa mashitaka sasa?
 
Hivyo baadhi ya wanaume mmeona tu suala la mkewe kusema ukweli, ila suala la tuhuma za ubakaji kwa huyo binti mdogo ni sawa na hamjaliona kabisa..!?

Nadhani angekuwa ni binti wa mmoja wenu, at least you could've felt the pain, kuweni na huruma kwa watoto..
Hapo tunahoja loyalty ya mke kwa mume wake. Mwanaume anapoharibu mke unatakiwa kuwa bega nae sio lazima udanganye ila fanya unachoweza kumlinda asidhurike maana ndio kazi yako.

Wewe unaweza kwenda kumripoti baba yako mzazi polisi kwasababu umemuona kalala na binti mdogo?
 
Ndo ishatokea sasa, usikute alishamuonya na kuvumilia sana lakini mwamba akawa anaendelea kisirisiri mpaka mkewe alipokuja kugundua tena
Nachelea kuamini ilitokea mara kadhaa huku mke akijua. Najua kwa wanawake wakihisi tu unataka kutafuna beki tatu utaona ameshafanya mpango binti arudi kwao hata kabla haujatongoza

Kwa kilichotokea hapo ni kwamba mwanamke atakuwa hakuwahi kujua so amekuwa shocked kustukia mzee anakula mzigo wa damu changa.

Halafu kitu kingine, kuna tofauti ya kubaka na kufanya mapenzi na raia alie chini ya umri wa utu uzima.

Wanawake huwa wana assume wanaume wanabaka mabinti kumbe muda mwingine ni consensual situations. Kubaka ina maanisha matumizi ya nguvu wakati wa kuomba game.
 
Back
Top Bottom