Kigoma 2015
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 371
- 93
Karibu kamanda tuitengeneze Kigoma yetu.
Karibu kwenye gari letu lenye usalama na lisilopata ajali ila kumbuka kufunga mkanda si kama Shibuda. Number yake ni T 2015 CDM
nafikiri intelijensia yake imemuambia ccm watashinda kesi ya uchaguzi kwa kutumia mahakimu wao na mwanachama wao james mbatia aliyopo nccr mageuzi...bora ahame sasa hivi..
Asante MbalingaMimi akili yangu inashindwa kuelewa mantiki kwamba uchaguzi mdogo ni gharama. Hayo ni maneno ya wana magamba kwani wanajua chaguzi ndogo zinazidi kuwapunguzia umaarufu.
Hivi Mkosamali akitoka na uchaguzi mdogo ukafanyika ndio tutapata maji? umeme wa uhakika? barabara zitajengwa? Nchi hii inahitaji kujengwa upya hivyo suala la gharama sio issue sana. Afterall kugharimia chaguzi ndogo ni bora kuliko kulipa Dowans.
CDM endeleeni kumshawishi huyo dogo atoke huko; chaguzi ndogo zina manufaa zaidi kwa CDM katika harakati za kujenga chama. CCM wanafahamu moto wa CDM hivyo hawataki kupambana tena kabls ya 2015.
Dogo kama huna amani huko na hawakujali usipoteze muda, tii dhamiri yako na utoke haraka sana.
Chadema kuweni makini na watu kama kina Mkosamali. Asije akawa kama Shibuda.
Karibu kamanda tuitengeneze Kigoma yetu.
Nina swali moja-kwanini wote wanaopinga mkosamali kuhama ni magamba?
inaonekana bunge ulikuwa unalifuatilia kupita taarifa ya habari tu!!halafu huyu dogo hadi muda huu kalifanyia nini taifa na jimbo lake tangu kuwa mbunge? Sikuwahi kumsikia bungeni. Nimewasikia machali na kafulila tu. Sasa hata akihamia cdm ataleta tija gani?