Mkosamali (MB) kuhamia CHADEMA

Mkosamali, "Tekana mwenewachu" pigania yanayowezeka maswala ya kuhama hama hayana mpango! Si kuna tetesi kuwa umetokea cdm wewe! Tulia kama kurudi,rudi 015 usitusumbue wananchi wako na maswala ya uchaguzi mdogo!
 
inawezekana kule NCCR pamemshinda maana Mbatia mwenyewe haeleweki yeye kila siku anagombana na kuwekeana bifu na wanawake badala ya kuongoza chama yeye kila siku mara Halima Mdee mara Mama Nkya sasa hapo kuna kiongozi au ni boya tu ????
 
inawezekana kule NCCR pamemshinda maana Mbatia mwenyewe haeleweki yeye kila siku anagombana na kuwekeana bifu na wanawake badala ya kuongoza chama yeye kila siku mara Halima Mdee mara Mama Nkya sasa hapo kuna kiongozi au ni boya tu ????

Punga hilo.
 
Chaguzi ndogo huingiza gharama kwenye nchi na wananchi wengi wanatumia muda mwingi bila kufanya shughuli za maendeleo,ni ukweli usiopingika kuwa NCCR MAGEUZI ni CCM na chama mkombozi wa wanyonge ni CDM,nlichokuwa nakushauri subiri 2015 wewe pamoja na wapiganaji wengine kama Moses Machali muweze kuhamia CDM.NCCR inaongozwa na punga na hainingii akilini mwenyekiti wa chama ashindwe kwenye uchaguzi,angekuwa na busara ingebidi ajiuzulu wadhifa.
 
Hizi chaguzi ndogo gharama zake tunalipia sisi wananchi.....sio fair kuwa kila mbunge akijiskia kuhama chama wananchi tugharimike

Ni sisi wananchi haohao ndio tunaoyataka kwa kukubali katiba mbovu......nchi zingine mbunge anahama chama na kubakia na ubunge wake wala haihitaji by-election
 
nafikiri intelijensia yake imemuambia ccm watashinda kesi ya uchaguzi kwa kutumia mahakimu wao na mwanachama wao james mbatia aliyopo nccr mageuzi...bora ahame sasa hivi..
 
Nadhani chadema watumie busara wamshauri atulie amalizie term hii kwanza. Cha msingi bungeni anaweza kufanyakazi bega kwa bega na cdm maana hawtofautiani sana kisera. Kama anataka kujiunga na cdm asubiri 2015 ambayo tunajua ni wengi tu watahamia cdm siyo yeye tu.
 
A negative thinker see difficulty in every opportunity.
A positive thinker see an opportunity in every difficulty.
 
nafikiri intelijensia yake imemuambia ccm watashinda kesi ya uchaguzi kwa kutumia mahakimu wao na mwanachama wao james mbatia aliyopo nccr mageuzi...bora ahame sasa hivi..
Duh kwa mbali sasa naanza kupata picha kamili jinsi mambo yalivyo...kama ni hivyo n bora akaanza mapema kukusanya kilichokuwa chake.
 
nafikiri intelijensia yake imemuambia ccm watashinda kesi ya uchaguzi kwa kutumia mahakimu wao na mwanachama wao james mbatia aliyopo nccr mageuzi...bora ahame sasa hivi..

Hapo ndipo haswa, inaonekana huyu jamaa hapati sapport ya kesi yake kutoka makao makuu rejea sms yake kwa mbatia, sijajua sheria inasemaje ikiwa kesi ipo mahakamani ya pingamizi then mtuhumiwa akastep down ubunge. Inawezekana ameona kupoteza jimbo ni rahisi kuliko kugombea tena kupitia CDM,
Ngoja tusubiri tuone itakavyokuwa.
 
Nadhani chadema watumie busara wamshauri atulie amalizie term hii kwanza. Cha msingi bungeni anaweza kufanyakazi bega kwa bega na cdm maana hawtofautiani sana kisera. Kama anataka kujiunga na cdm asubiri 2015 ambayo tunajua ni wengi tu watahamia cdm siyo yeye tu.

Ninakuunga mkono kuu, atulie na ubunge wake akifanya kazi na vijana wa chadema. Mbona M/ kiti wake anafanya kazi na CCM. Japokuwa hata kuwa huru na hatatimiza malengo yake.

Labda na yeye tumsikilize tuone hoja zake zinauzito gani kiasi cha kumwathiri kufanya kazi. Hawezi kufanya kazi mwenyewe bila kuwa na wezio akafanikiwa malengo unayotaka.
 
mkosamali ni rafiki yangu wa karibu toka chuoni nimempigia simu kuhusu ishu hii kadai hakuna tofauti baina yake na mbatia ila chama hakimpi support juu ya mwenendo wa kesi yake na anachodai anajikuta akishughulikia sana mwenendo wa kesi na kupoteza fedha zake nyingi kuajili wanasheria wakati chama kina wanasheri ivyo amejikuta kama yatima ndani ya chama.
 
Kama kweli huyu kijana anania njema na mustakabali wa watanzania kiuchumi
ni bora akasort out hizo issues bila ya kutoka huko.

Matumizi tuliyoyashuhudia igunga ni kufuru kabisa, na uhakika ukizingatia jimbo
hilo haliko mikononi mwa ccm kwa sasa, hawa jamaa wanaweza kutumia hata
Billion 100 TZS, kupigania hilo jimbo. naomba atuepushe na kufuru hii.
 
Atulie tu mpaka 2015 ndo ahamie CHADEMA sasa hivi ni mapema mno
 
Kwanini anapata shida gani aliwa kwenye hicho chama cha sasa? kwanini asisubiri 2015?
Nimepata woga kidogo hapo
 
inawezekana kule NCCR pamemshinda maana Mbatia mwenyewe haeleweki yeye kila siku anagombana na kuwekeana bifu na wanawake badala ya kuongoza chama yeye kila siku mara Halima Mdee mara Mama Nkya sasa hapo kuna kiongozi au ni boya tu ????

Chadema wana mwenyekiti wa maana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom