aliyahama CDM ni David Kafulila wa kigoma kusini, na alipata ubunge kupitia NCCR-Mageuzi
Badilisheni sheria, ili mbunge akihama chama abaki na ubunge wake uone jinsi CCM itakavyopukutika. Au la, mbunge anapohama, aliyekuwa wa pili kwenye uchaguzi ndiye anatangazwa mbunge, hii nayo vipi?
Mkosamali, "Tekana mwenewachu" pigania yanayowezeka maswala ya kuhama hama hayana mpango! Si kuna tetesi kuwa umetokea cdm wewe! Tulia kama kurudi,rudi 015 usitusumbue wananchi wako na maswala ya uchaguzi mdogo!
NI kwene..natekane, 2015 ni hofi chane. ndamenya niho tusubhiye ulalonka! tekana mwenewachu, 2015 ntiyo kulele!!!
ugomba tuvunagulane amagulu twali twashimye ngne uhaye ubhikozamwali liya shengeo dyo dodoma? hakabhaali mbatia akukuleye bhibhi, tekana, umusi wushise ugend ichadema, natwe abhashingantahe, tulokwambika impuzu tuguhezagile usubhilemeo kandi.
Ngilango ulanyumvishe mwenewachu!
Tugile umwami...umwami ni wu bhuhoro!.....
Nankane wa se bhiheko!!!!!!!
Hii itakuwa imetulia na itapunguza matumizi yasiyo ya lazima...
Kwa mtazamo wangu hii sheria itawaumiza wapinzani kuliko CCM.Kuna wabunge wengi tuu upinzani ambao madhumuni yao sio kuwatumikia wananchi bali ni kujikimu na maisha na kuitwa mbunge na CCM hao wapo tayari kutumia kiasi chochote cha pesa kwa jambo lolote ambalo litadhoofisha upinzani.Badilisheni sheria, ili mbunge akihama chama abaki na ubunge wake uone jinsi CCM itakavyopukutika. Au la, mbunge anapohama, aliyekuwa wa pili kwenye uchaguzi ndiye anatangazwa mbunge, hii nayo vipi?
If you think democracy is expensive try dictatorship where election is regarded as wastage of money, time and resource.Hizi chaguzi ndogo gharama zake tunalipia sisi wananchi.....sio fair kuwa kila mbunge akijiskia kuhama chama wananchi tugharimike
Daaa kila Mtu ana akili zake lkn ni vyeema Mtu ukakaaa mahala ambapo utapata aman ya Moyo wako na ukafanya kazi vile ulivojaaliwa.Ushauri atulie na kuyamaliza na Mwenyekiti wake ikishindikana kabisa basi ndio afanye Uamuzi huo
Ulachumise...NI kwene..natekane, 2015 ni hofi chane. ndamenya niho tusubhiye ulalonka! tekana mwenewachu, 2015 ntiyo kulele!!!
ugomba tuvunagulane amagulu twali twashimye ngne uhaye ubhikozamwali liya shengeo dyo dodoma? hakabhaali mbatia akukuleye bhibhi, tekana, umusi wushise ugend ichadema, natwe abhashingantahe, tulokwambika impuzu tuguhezagile usubhilemeo kandi.
Ngilango ulanyumvishe mwenewachu!
Tugile umwami...umwami ni wu bhuhoro!.....
Nankane wa se bhiheko!!!!!!!
Mi nadhani kwenye katiba mpya tupendeze, kama mbunge anahama chama aendelee kuwa mbunge kwani mbunge kachaguliwa na wananchi na sio chama.Hizi chaguzi ndogo gharama zake tunalipia sisi wananchi.....sio fair kuwa kila mbunge akijiskia kuhama chama wananchi tugharimike