SEAL Team 6
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 655
- 118
Karibu sana CDM unakaribishwa kwa mikono miwili, ulikuwa umepotea NCCR manunuzi hakikufai.
mambo ya siasa, waachie wanasiasa!'""""" Mbatia sio mwanasiasa, chama amekiua..... alaf, huyu ndie aliemfanyia fitina Mrema akatoka kwenda NCCR??????
Huyu kijana alikuwa Chadema kabla ya kuhamia NCCR-Mageuzi muda mfupi baada ya Kafulila kuhamia huko, sasa inaonekana amegundua kulehakumfai ndiyo maana anataka kuhama. Anyway ana haki ya kufanya hivyo na uchaguzi mdogo ukifanyika tusiogope gharama kwa demokrasia ni gharama. Lakini pia hilo ni tatiz la kikatiba kuzuia wagombea huru
Utaratibu mzuri sana huu kwa nchi masikini kama hii yetu. tatizo ni kuwa hapa kwetu wananchi hatuelewi hasa gharama za hizi chaguzi na hii ni kwa sababu mamlaka zinazohusika na kuandaa na kuendesha shughuloi hizo hazitaki kutuambia gharama hizo. kwa kuwa wanajua kuwa na wao wana ulaji wao humo ndani, basi gharama za kuendesha chaguzi linakuwa ni jambo la siri sana.Ni sisi wananchi haohao ndio tunaoyataka kwa kukubali katiba mbovu......nchi zingine mbunge anahama chama na kubakia na ubunge wake wala haihitaji by-election
Hizi chaguzi ndogo gharama zake tunalipia sisi wananchi.....sio fair kuwa kila mbunge akijiskia kuhama chama wananchi tugharimike
NI kwene..natekane, 2015 ni hofi chane. ndamenya niho tusubhiye ulalonka! tekana mwenewachu, 2015 ntiyo kulele!!!Mkosamali, "Tekana mwenewachu" pigania yanayowezeka maswala ya kuhama hama hayana mpango! Si kuna tetesi kuwa umetokea cdm wewe! Tulia kama kurudi,rudi 015 usitusumbue wananchi wako na maswala ya uchaguzi mdogo!
hana haja ya kuhama sasa.. Asubiri 2015 ili kunusuru watu wake na vurugu za kampeni zisizo na msingi
inawezekana kule NCCR pamemshinda maana Mbatia mwenyewe haeleweki yeye kila siku anagombana na kuwekeana bifu na wanawake badala ya kuongoza chama yeye kila siku mara Halima Mdee mara Mama Nkya sasa hapo kuna kiongozi au ni boya tu ????
Hizi chaguzi ndogo gharama zake tunalipia sisi wananchi.....sio fair kuwa kila mbunge akijiskia kuhama chama wananchi tugharimike
Daaa kila Mtu ana akili zake lkn ni vyeema Mtu ukakaaa mahala ambapo utapata aman ya Moyo wako na ukafanya kazi vile ulivojaaliwa.Ushauri atulie na kuyamaliza na Mwenyekiti wake ikishindikana kabisa basi ndio afanye Uamuzi huo
NI kwene..natekane, 2015 ni hofi chane. ndamenya niho tusubhiye ulalonka! tekana mwenewachu, 2015 ntiyo kulele!!!
ugomba tuvunagulane amagulu twali twashimye ngne uhaye ubhikozamwali liya shengeo dyo dodoma? hakabhaali mbatia akukuleye bhibhi, tekana, umusi wushise ugend ichadema, natwe abhashingantahe, tulokwambika impuzu tuguhezagile usubhilemeo kandi.
Ngilango ulanyumvishe mwenewachu!
Tugile umwami...umwami ni wu bhuhoro!.....
Nankane wa se bhiheko!!!!!!!