elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Wadau wana hamu ya kujua malipo kuliko mhusika aliyetoa pesa
Ahaha ulimkomeshaUmeona faida ya uaminifu,, nilidhulumiwa hela ya tenda kisa kumuamin mtu sikuandikishiana nar nikiamin n mtu mzima ..akajiona fahar kweli last month nikapewa tenda kubwa mara mbili ya wale nikaambiwa nimpe tenda nikamwambia bos huy mtu anadaiwa nemc hajarenew certificate ..kumbe n kwel nami nilibahatisha tu ..nikamnyima ile tenda na kijana wake nikamwandikia ripot mbovu akaondoka ktk ile ofis .....TUKIWAZA WALAU KIDOGO KUNA KESHO NA KUNA SHIDA BADO KWAN HAZITUISHI TUNGEBADILIKA NA KUWA WEMA KWA KWELI!
Ni bahati sana kumpata mtu kama Malcom, tulio wengi uaminifu ni 0. Hongera zake na pia wewe ubarikiwe kwa kumsaidia MalcomKipimo cha mtu ni utu. Kuna thamani kubwa sana katika imani. Malcom05 amenitumia pesa leo kama alivyoahidi..shukrani sana kwake....lakini kitu muhimu hapa si pesa....20k si kitu hata kidogo, bali kitu kikubwa nilichopata hapa ni kujifunza. Nimejifunza kuwa uaminifu ni kitu cha thamani ya juu sana.... Lazima tuwe na mioyo safi na kueaamini watu wengine kwa moyo mmoja. Tena, uaminifu si kwa tunaowafahamu tu....bali ni kwa kila mtu anayestahili.....you never know...tumeanza kwa kuazimana 20k leo....lakini tumejenga uaminifu....kesho tunaweza fanya makubwa pia. Once again, thanks Malcom05 kwa uaminifu.
Mungu akuzidishieKipimo cha mtu ni utu. Kuna thamani kubwa sana katika imani. Malcom05 amenitumia pesa leo kama alivyoahidi..shukrani sana kwake....lakini kitu muhimu hapa si pesa....20k si kitu hata kidogo, bali kitu kikubwa nilichopata hapa ni kujifunza. Nimejifunza kuwa uaminifu ni kitu cha thamani ya juu sana.... Lazima tuwe na mioyo safi na kueaamini watu wengine kwa moyo mmoja. Tena, uaminifu si kwa tunaowafahamu tu....bali ni kwa kila mtu anayestahili.....you never know...tumeanza kwa kuazimana 20k leo....lakini tumejenga uaminifu....kesho tunaweza fanya makubwa pia. Once again, thanks Malcom05 kwa uaminifu.
But alisema atarudisha 25 ....kingine walau angeweka na makato basi maana hapo ukitoa unapata hasara na siku ya kumtumia ulikatwa pia ulipata hasaraKipimo cha mtu ni utu. Kuna thamani kubwa sana katika imani. Malcom05 amenitumia pesa leo kama alivyoahidi..shukrani sana kwake....lakini kitu muhimu hapa si pesa....20k si kitu hata kidogo, bali kitu kikubwa nilichopata hapa ni kujifunza. Nimejifunza kuwa uaminifu ni kitu cha thamani ya juu sana.... Lazima tuwe na mioyo safi na kueaamini watu wengine kwa moyo mmoja. Tena, uaminifu si kwa tunaowafahamu tu....bali ni kwa kila mtu anayestahili.....you never know...tumeanza kwa kuazimana 20k leo....lakini tumejenga uaminifu....kesho tunaweza fanya makubwa pia. Once again, thanks Malcom05 kwa uaminifu.
Ni kweli Lakini hatujui walivyo Kubaliana PM......Nampongeza tu kwa uaminifuBut alisema atarudisha 25 ....kingine walau angeweka na makato basi maana hapo ukitoa unapata hasara na siku ya kumtumia ulikatwa pia ulipata hasara
How?? 4 I'Ds on same thread?i told you guys ..... haaa haaa
more than 4 I'd on the same verge .... deceit is an evil path
Hahahaha daah huyo jamaa kiboko.. Akakupa ATM kumbe ina elfu nne tu..Nilifanya deal zangu nikawa na ziada ya 2M,
Mdada mmoja tulifanya kazi kampuni Moja alipata dharura,alijifungua kwa operation..hosptali wakawa wameacha gauze tumbon,tumbo linazid kukua wakati mtoto ametoka tayari.
Akafanya vipimo na kuonekana kuna gauze imebaki, ivyo inatakiwa operation nyingine..lakini hela Hana akaomba mkopo mwaka huu mwezi wa 4,kutoa gauze na kusafisha tumbo ni 1m akasema mume wake yuko nje akirud ndani ya 2 wks atarudisha.
nkampatia hela,Ila lol mpk leo.. MUNGU ndo anajua
Mwingine on same amount on same month!. Anafanyakaz office ya raisi alitumwa kwa mission akasema hajaingiziwa hela na muhimu kwenda kesho yake.tukaenda wote bank kutoa hela haikutoka yote ivyo nyingine ilibidi nimtumie kwa sim!!..
Toka mwezi huo mpk leo imekuwa story na excuse.last 2 weeks nilionana nae akasema wameingiziwa hela Ila yy ratiba yake iko tyt ivyo anipe ATM card yake nkatoe 1.5 nyingine ya usumbufu!.nkaondoka mpk bank kufika ana elfu4.
Since then hapokei sim zangu.
Watu kama hao unawasaidije???
Wanasahau kuna kesho,wanasahau shida Haina mwenyewe.
hapa nadaiwa laki 3 Ila week ya 2 naisaka bila mafanikio na njee kuna hela yangu nyingi.
Hisia tu 20,000 kumkopa mtu kitu gani bwana.I smell something fishy.....
Huyo Malcom na mwenzake ni mtu mmoja... Anataka Jenga fake Credibility hapa JF kwamba ni muaminifu...
Siku ingine atakuja na story ya 50,000 laki and so on halafu atakuja mliza mtu amount kubwa ambayo hatakaa aisahau..
Take Care Guys
I smell something fishy.....
Huyo Malcom na mwenzake ni mtu mmoja... Anataka Jenga fake Credibility hapa JF kwamba ni muaminifu...
Siku ingine atakuja na story ya 50,000 laki and so on halafu atakuja mliza mtu amount kubwa ambayo hatakaa aisahau..
Take Care Guys
Binadamu wamebakia wachache sana, wengi majambazi tu. Kuna siku alikuja shemeji yangu pamoja na dadangu, wanakieleza matatizo marefu kama treni ambayo yalihitaji Sh laki tano tu ili kutatua. Nikampa kwa maandishi kwa ahadi kuwa baada ya kama mwezi atarudisha. weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, aibu. Nimepiga simu, nimewatembelea, nimewashitakia kwa wazazi lakini mpaka leoooooooooo ni SIFURI.Nilifanya deal zangu nikawa na ziada ya 2M,
Mdada mmoja tulifanya kazi kampuni Moja alipata dharura,alijifungua kwa operation..hosptali wakawa wameacha gauze tumbon,tumbo linazid kukua wakati mtoto ametoka tayari.
Akafanya vipimo na kuonekana kuna gauze imebaki, ivyo inatakiwa operation nyingine..lakini hela Hana akaomba mkopo mwaka huu mwezi wa 4,kutoa gauze na kusafisha tumbo ni 1m akasema mume wake yuko nje akirud ndani ya 2 wks atarudisha.
nkampatia hela,Ila lol mpk leo.. MUNGU ndo anajua
Mwingine on same amount on same month!. Anafanyakaz office ya raisi alitumwa kwa mission akasema hajaingiziwa hela na muhimu kwenda kesho yake.tukaenda wote bank kutoa hela haikutoka yote ivyo nyingine ilibidi nimtumie kwa sim!!..
Toka mwezi huo mpk leo imekuwa story na excuse.last 2 weeks nilionana nae akasema wameingiziwa hela Ila yy ratiba yake iko tyt ivyo anipe ATM card yake nkatoe 1.5 nyingine ya usumbufu!.nkaondoka mpk bank kufika ana elfu4.
Since then hapokei sim zangu.
Watu kama hao unawasaidije???
Wanasahau kuna kesho,wanasahau shida Haina mwenyewe.
hapa nadaiwa laki 3 Ila week ya 2 naisaka bila mafanikio na njee kuna hela yangu nyingi.