Mkopo mdogo wa fasta

Mkopo mdogo wa fasta

Duh uko bar gani kwani ?
Bili imekuja sh .ngapi ?

Hauna watu ambao watakupa kama kweli una uaminifu huo huko mtaani unafikiri huku tutakuaminije
Duh??
Mkuu umenikumbusha mbali sana enzi hizo niko Dom bar inaitwa sun rise!
Demu kapiga msosi na vinywaji vya kutosha Na mfukoni sikuwa vizuri! Ilinibidi nifanye maamuzi magumu aisee!!
 
Kwa mara ya kwanza kuona mtu hatapeliw .....
I actually don't know the guy personal.....but i always believe in giving people trust....wakti ninampa 20k nilifikiria pia kama kuna uwezekani wa kutorejeshwa kama mtu si mwaminifu.....but i always don't judge people negatively. I don't ever think negatively. I still have a very big faith to my bruv Malcom05......he's going to pay back na nitawapa mrejesho.
 
Nakuombea akulipe!am sure atalipa leo leo
 
I actually don't know the guy personal.....but i always believe in giving people trust....wakti ninampa 20k nilifikiria pia kama kuna uwezekani wa kutorejeshwa kama mtu si mwaminifu.....but i always don't judge people negatively. I don't ever think negatively. I still have a very big faith to my bruv Malcom05......he's going to pay back na nitawapa mrejesho.
Nahisi unatabia zinazoshabihiana na mm 80% kwa kumuamini mtu ktk watu nilowaamin nikawakopesha ktk 10 nimelipwa na 1 ....kuna muda najutia sana kuna muda namshukuru Mungu ila sasa nikiwa na mm nina shida tena shida kuu nikamwomba mtu nisipopata nalia sana mana najikuta nakumbuka madeni yote na kuanza kuwasumbua but mwisho wa siku silipwi.....
 
Nahisi unatabia zinazoshabihiana na mm 80% kwa kumuamini mtu ktk watu nilowaamin nikawakopesha ktk 10 nimelipwa na 1 ....kuna muda najutia sana kuna muda namshukuru Mungu ila sasa nikiwa na mm nina shida tena shida kuu nikamwomba mtu nisipopata nalia sana mana najikuta nakumbuka madeni yote na kuanza kuwasumbua but mwisho wa siku silipwi.....
Same here, nimewapa watu pesa wakiwa na shida wengi tu lakini kulipa inakuwa ngumu.
uwa nasema sitosaidia tena najikuta nasaidia ila nimejifunza ili mtu akulipe mpe mkopo mdogo usiozidi 50,000 au laki.
Maana ukimpa mtu mkopo usio na maandishi kuanzia laki tatu hata akiwa na ela wengi wagumu kurudisha.
Ila mimi uwa kudai siwezi nikikukumbusha mara mbili tatu usiponilipa napotezea ila sasa uwa nikiwa nina shida ndipo roho inaniuma maana wao hawanisaidii.
 
Ila kuamini na kuwa mwaminifu ni kitu kizuri, mimi kuna mtu humu aliwahi nitumia kiasi chs milioni moja na laki sita mwaka juzi hanifahamu simfahamu na mimi niko dar yeye alikiwa mbeya.
Tukafanya biashara flani baada ya hapo akaja dar tukafanya biashara nyingine mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom