Usilewe sifa ------- kuelimisha inatoshaShukrani mkuu kwakuwatoa ofu watu humu ndani..mi nilianza kuwaileza kwa kiutaalam zaidi kuusu mikopo ila baadae nilitambua kua sio watu wote humu ndani ni Certified Professional Banker (CPB) holders hivyo nilijikuta nikiongea mwenyewe