iSirius
New Member
- Jun 8, 2023
- 2
- 2
Mimi ni kajana niliye fanikiwa kusoma na kumaliza Bachelor ya Business Administration.
Tangu kumaliza chuo (2022) hadi leo, nimebahatika kufanya kazi katika kampuni 4 zinazojihusisha na usafirishaji wa mizigo kutoka Nje.
Kutokana na changamoto za kazi, ndo zilinifanya kuhama hama na hatimaye kuacha kazi na kujiajiri baada ya kuona fursa, na kutambua jinsi kazi inavyofanyika.
Nikizingumza kwa niaba pia ya vijana wenzangu wenye changamoto kama yangu, nimegundua kuwa Vijana wengi tuna mawazo, uwezo, nguvu na hali ya kutaka kufanya biashara lakini tunakwama kutokana na kukosa mitaji.
Na tunapojaribu kutafuta njia ya kutatua changamoto hii hata kwa kukopa, pia inakuwa ngumu kutokana na vigezo vilivyopo ili kupata mikopo hiyo, ila kubwa ikiwa ni dhamana ya kuweka ili kupata mkopo.
Ombi langu kwa idara/ ofisi mbalimbali zinazojihusisha na kuwawezesha vijana (kutoa mikopo), kuweka vigezo ambavyo vitatuwezesha vijana kama mimi kumudu vigezo hivyo, ili kutuwezesha na kufikia malengo.
Tangu kumaliza chuo (2022) hadi leo, nimebahatika kufanya kazi katika kampuni 4 zinazojihusisha na usafirishaji wa mizigo kutoka Nje.
Kutokana na changamoto za kazi, ndo zilinifanya kuhama hama na hatimaye kuacha kazi na kujiajiri baada ya kuona fursa, na kutambua jinsi kazi inavyofanyika.
Nikizingumza kwa niaba pia ya vijana wenzangu wenye changamoto kama yangu, nimegundua kuwa Vijana wengi tuna mawazo, uwezo, nguvu na hali ya kutaka kufanya biashara lakini tunakwama kutokana na kukosa mitaji.
Na tunapojaribu kutafuta njia ya kutatua changamoto hii hata kwa kukopa, pia inakuwa ngumu kutokana na vigezo vilivyopo ili kupata mikopo hiyo, ila kubwa ikiwa ni dhamana ya kuweka ili kupata mkopo.
Ombi langu kwa idara/ ofisi mbalimbali zinazojihusisha na kuwawezesha vijana (kutoa mikopo), kuweka vigezo ambavyo vitatuwezesha vijana kama mimi kumudu vigezo hivyo, ili kutuwezesha na kufikia malengo.