mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 493
- 480
Nikiwa na umri wa miaka 19 nilikabithiwa na bibi mzaa mama mkoba wa uchawi. Bila kuukataa niliupokea kwa kuaminishwa ungenisaidia ningeweza kufaulu na kufanya vyema kielimu, kwani ilikuwa ni kiu yangu kubwa pale kijijini.
Kweli nilipoupokea baada ya muda niliona matokeo mazuri katika elimu na kweli hatimye nilifika hadi chuo na kupata Ajira taasisi kubwa nchini.
Nikiwa ofisini na tena mjini maisha mazuri,baada ya mwaka nilipata mwanaume akaniona na nikamzalia watoto wawili. Lakini hivi navyozungumza nimeshaacha kazi yangu kwa kufuata maelekezo ya mkoba.
Kwangu hainiumi bali kwa mume wangu ndio inaniuma, kila siku ziendazo anazidi kufirisika, anazidi kudhoofu afya yake na hata kazi ameshasimamishwa na ndugu zake wamemtenga, wakiamini yeye ameendekeza mapenzi kwangu haambiliki pasipo wao kujua, sio akili yake bali ni mkoba wangu.
Sharti ni yeye na mimi tuwe wote waganga, mimi nilikubali na kuacha kazi yangu niliyoajiriwa ila mume wangu hayupo tayari kuwa saidia wangu.
Imefika kipindi hata nguvu za kiume ni tatizo, pesa imekuwa ngumu na watoto shule za gharama tumeshindwa kuwalipia.
Natamani kumuokoa mume wangu na watoto wangu, ila sharti la suluhu ni mimi labda kufa. Natamani kwenda kujikabithi kwa Mola ila naogopa kuumbuka kwa heshima yangu jamii itanionaje.
Na mmmuhumba
0624 440 454
Tiktok mmmmuhumba
Kweli nilipoupokea baada ya muda niliona matokeo mazuri katika elimu na kweli hatimye nilifika hadi chuo na kupata Ajira taasisi kubwa nchini.
Nikiwa ofisini na tena mjini maisha mazuri,baada ya mwaka nilipata mwanaume akaniona na nikamzalia watoto wawili. Lakini hivi navyozungumza nimeshaacha kazi yangu kwa kufuata maelekezo ya mkoba.
Kwangu hainiumi bali kwa mume wangu ndio inaniuma, kila siku ziendazo anazidi kufirisika, anazidi kudhoofu afya yake na hata kazi ameshasimamishwa na ndugu zake wamemtenga, wakiamini yeye ameendekeza mapenzi kwangu haambiliki pasipo wao kujua, sio akili yake bali ni mkoba wangu.
Sharti ni yeye na mimi tuwe wote waganga, mimi nilikubali na kuacha kazi yangu niliyoajiriwa ila mume wangu hayupo tayari kuwa saidia wangu.
Imefika kipindi hata nguvu za kiume ni tatizo, pesa imekuwa ngumu na watoto shule za gharama tumeshindwa kuwalipia.
Natamani kumuokoa mume wangu na watoto wangu, ila sharti la suluhu ni mimi labda kufa. Natamani kwenda kujikabithi kwa Mola ila naogopa kuumbuka kwa heshima yangu jamii itanionaje.
Na mmmuhumba
0624 440 454
Tiktok mmmmuhumba