M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi sana juu ya mkoa wa Mbeya.,nimebahatika kutembea zaidi 75% ya mikoa ya Tanzania lakini ni mkoa wa Mbeya tu ndipo nilipokuta wingi wa makanisa ya watu binafsi pamoja na "maaskofu na manabii" waliojipachika status hizo wenyewe.
"Maaskofu na manabii" wengi tunaowasikia leo hii hapa Tanzania ni watu wenye asili ya mkoa wa Mbeya, kwa uchache tu hebu angalia hawa wafuatao;
Nabii Lusekelo "mzee wa upako"
Mchungaji Mwakasege
Mchungaji Bukuku
Askofu Mwasota
Na hivi karibuni ameibuka "babu" Mwasapile.,list ni ndefu sana...
Ninachojiuliza ni kwamba wingi wa makanisa haya unamaanisha kuwa mkoa huu ndio wenye wacha Mungu sana au ndio ile nchi ya ahadi tunayoisikia tu na pengine Masia akirudi anaweza kufikia Mbeya.
"Maaskofu na manabii" wengi tunaowasikia leo hii hapa Tanzania ni watu wenye asili ya mkoa wa Mbeya, kwa uchache tu hebu angalia hawa wafuatao;
Nabii Lusekelo "mzee wa upako"
Mchungaji Mwakasege
Mchungaji Bukuku
Askofu Mwasota
Na hivi karibuni ameibuka "babu" Mwasapile.,list ni ndefu sana...
Ninachojiuliza ni kwamba wingi wa makanisa haya unamaanisha kuwa mkoa huu ndio wenye wacha Mungu sana au ndio ile nchi ya ahadi tunayoisikia tu na pengine Masia akirudi anaweza kufikia Mbeya.