ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,368
kama hujawahi kuishi mbeya unaweza ukafikiri hivyo...
kuna mtaa unsitwa Nzovwe ni full makanisa tena mengi yapo kwenye nyumba za watu, vikanisa vingi sana .....
mi nahisi mbeya waliishaona dili kwenye biashara ya dini maana kila mtu alijisikia ye anahama kanisa lake na kuanzisha la kwake na cha kushangaza mbeya kuna ushirikina sana sio mjini wala kijijini yani kote so taasisi za dili ni nyingi lakini watu wa dini ni wachache.
kuna mtaa unsitwa Nzovwe ni full makanisa tena mengi yapo kwenye nyumba za watu, vikanisa vingi sana .....
mi nahisi mbeya waliishaona dili kwenye biashara ya dini maana kila mtu alijisikia ye anahama kanisa lake na kuanzisha la kwake na cha kushangaza mbeya kuna ushirikina sana sio mjini wala kijijini yani kote so taasisi za dili ni nyingi lakini watu wa dini ni wachache.