Mkoa wa Mbeya ndio nchi ya ahadi?

Mkoa wa Mbeya ndio nchi ya ahadi?

Aise Mbeya 'kila mtu'ni mlokole.Sijui kuna kitu gani

Mkuu ndio maana niliomba kwa mwenye uelewa juu ya hilo atujuze kwani naamini hapa jf,kuna watu wenye uelewa wa mambo mbalimbali
 
Siyo makanisa na waimbaji tu hata maovu mengi hapa tz chanzo chake ni mbeya na makanisa mengi huanzishwa kipindi cha mavuno
hivyo wengi wa waanzilishi wanakuwa hawana upako
 
Asante Serengo umeshatoa pa kuanzia.Kama makanisa yanaongezeka wakati wa mavuno hapo hauhitaji kuwa na digrii kupata jibu!!
 
huko kuna uhamsho sana wa kiroho na watu wanampenda. na sisi iyo ndo tunayoitaka, hata ww unaweza kuanzisha tu, mm mwenyewe ndo natarajia kufungua iringa.

Teeeh,teeeh,wewe ilovo,hayo mambo yanataka wito na support kubwa sana mkuu,unaweza ukafungua kanisa ukawa unasali wewe na familia yako tu,isee inataka maandalizi
 
jamani ni jambo jema tena la kufurahia, ww mwenyewe ni mkristo lkn hauendi knsn. na iyo inatoka na ni nani anaetawala ktk ulimwengu wa roho, kwa iyo hata ww unaweza kuanzisha lako

Mkuu tumekusoma,ila kwa alivyo henyeshwa mchungaji Gwajima pale kwa kova,sasa tunaogopa kuanzisha hii kitu
 
Kumbuka watu wengi humwabudu shetani bila kujua. namaanisha hayo makanisa mengi yao yanaongozwa na ibilisi..
 
Back
Top Bottom