kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
hakuna mkoa masikini tz kama tutakuwa na serikali ya majimbo
Kwa hiyo wewe ndio Tabora nzima?
Unaweza ukajaza ukurasa lkn bado suala likarudi pale pale kuwa naizungumzia Tabora na si mtu mmoja. Mimi sina dharau nimesema ukweli tu. Wewe umekurupuka mbio, ooh mimi nafuga samaki. Sawa, wewe mmoja ukiwa na gitaa nyumbani kwako ndio tupigie mstari kuwa watu wa Tabora woote ni wanakwaya?
Halafu mimi sina HELA dogo slow down, mimi nina FEDHA. Hela zinakaa mfukoni na mimi sina mfuko nina akaunti
Kuna mtu ashawahi kufika Katavi humu jamvini...?
umetisha sana mkuu yaaani you never relied on assumptions full data to final conclusionPoverty can be measured in different ways, one of them is by the poverty head count ratio (PHCR) is used. The PHCR is the proportion of the population whose incomes are below the official poverty line. The results from the second Household Budget Survey conducted in 2007 indicate that Tabora (12.1 %) and Dar es Salam (17.5 %) have the smallest poverty head count ratio, and Dodoma (35.3 %) and Singida (33.8 %) have the highest percent of the population living below the poverty line. In conclusion, Dodoma is the poorest region in Tanzania, full stop!!!
STK ONE achana na huyo kajisikia tu kuitaja Katavi........Na wewe bwana....!!! Kufika wakati ndiyo nyumbani pale maeneo ya Makanyagio, Kawajense, Majengo, Kazima, Majengo mapya, Misunkumilo, MpandaHotel, Kashaulili, Msasani (ndiyo nimezaliwa hapo), Tambuka reli, Kasimba, Ilembo, Kigamboni, Mikocheni, Shanwe ni baadhi tu ya maeneo maarufu ukiwa Mpada, Makao makuu ya mkoa mpya wa katavi. Sema, unataka kusema nini sasa? kwamba sisi ndiyo maskini wa Mwisho Tz?
Ntwala,
Poverty can be measured in different ways, one of them is to use the Poverty Head Count Ratio (PHCR); which is the proportion of the population whose incomes are below the official poverty line. The results from the second Household Budget Survey conducted in 2007 indicate that Tabora (12.1 %) and Dar es Salam (17.5 %) have the smallest poverty head count ratio, and Dodoma (35.3 %) and Singida (33.8 %) have the highest percent of the population living below the poverty line. In conclusion, Dodoma is the poorest region in Tanzania, full stop!!!
Sidhani kama mtwara na Lindi zitachomoka hapa!
Mungu tunasuru na Mkoa wa Singida kwa kina Tundu Lissu, mkoa mgumu sijapatakuona.
Nilijaribu kuwekeza huko nilifungua kakituo ka mafuta kwa siku unauza Lita 20.
Ndio maana Lissu anaamua kujichimbia Dar.
Singida ndio mkoa maskini Tanzania ikifutiwa na Dodoma
Acha bangi wewe, umefika Rukwa au unaongea tu. Bwana simaye kama hujafika njoo uone namna watu wanavyoishi vizuri huku.......rukwa sina uhakika kama si masikini, ukiwaona wananchi wa vijijini utagundua umasikini wake ni wa kiwango gani.
Mafia sio mkoa....mmesahau Mafia nyie
Sidhani kama mtwara na Lindi zitachomoka hapa!