Mkoa maskini kuliko yote Tanzania

Mkoa maskini kuliko yote Tanzania

Kwa hiyo wewe ndio Tabora nzima?

Unaweza ukajaza ukurasa lkn bado suala likarudi pale pale kuwa naizungumzia Tabora na si mtu mmoja. Mimi sina dharau nimesema ukweli tu. Wewe umekurupuka mbio, ooh mimi nafuga samaki. Sawa, wewe mmoja ukiwa na gitaa nyumbani kwako ndio tupigie mstari kuwa watu wa Tabora woote ni wanakwaya?

Halafu mimi sina HELA dogo slow down, mimi nina FEDHA. Hela zinakaa mfukoni na mimi sina mfuko nina akaunti

nimecheka sana na hii post yako,we kwweli mwana mtoka pabaya
 
Arusha make wananchi wake hawana hata mavazi wanaishia kujifunika shuka

....Hahaha! teh teh teh teh.! Wewe.... badili jina uitwe UONGO MTUPU! Watu wanadumisha mila ile wengine walioshindwa then unaangalia kwa makengeza mkuu? Arusha is the richest region in Tanzania. Madini yasiyopatikana kokote duniani utayapata Arusha, wazungu wapandao kili, meru na mbuga kama serengeti na ngorongoro wanaacha dolar, euro na paund hapa, makao makuu ya taasisi mbalimbali barani Afrika kama mahakama ya biashara na makao makuu ya posta Afrika ni hapa, UN-ICTR (mahakama ya kesi za mauaji ya kimbari ya Rwanda) na wafanyakazi wao ni hapa, makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki ni hapa, kilimo na mifugo ya kisasa ni hapa, na of course nami angalia jina langu hapo juu unitake radhi na kama kuna mikoa inaonewa jitokezeni kujitetea.
 
Kuna mtu ashawahi kufika Katavi humu jamvini...?

mimi hapa, ngoja nikutajie vitongoji vyote: kashauriri, kawajense, mpandandogo magamba,nsimbo, mpimbwe, kabwe, inyonga, uruwira, kibaoni starike, milala, mwese, mishamo, katumba, msaginya, nsimbo......... Need to say more?!, lakini huu mkoa si masikini na watu wake ni matajiri mno; tazama wanavyo zalisha mahindi, mpunga , mbao za mninga na tumbaku!, wanahela mnooooooooo. Serikali iliwabania wakaaji wa mkoa huu kitambo, kwa kuwa sasa wamepewa mkoa utaona mwenyewe watavyo paa. Si unakumbuka mwaka huu mh raisi alifanya mkutano maaluma kwa wawekezaji wa kanda ya ziwa tanganyilka katika mji wa mpanda?, ni potential area ya development ila watu wa huko wanakalia umbea zaodi. Katirumi.
 
Dar es Salaam ni mkoa maskini kabisa Tz. Asilimia kubwa yawakaziwanalala nje kwenye maboksi na kula mlo mmoja tu.

Mkuu huko kunaitwa kujifariji na kujiliwaza...Dar es Salaam ndio kila kitu Tanzania.
 
Arusha make wananchi wake hawana hata mavazi wanaishia kujifunika shuka

....Hahaha! teh teh teh teh.! Wewe.... badili jina uitwe UONGO MTUPU! Watu wanadumisha mila ile wengine walioshindwa then unaangalia kwa makengeza mkuu? Arusha is the richest region in Tanzania. Madini yasiyopatikana kokote duniani utayapata Arusha, wazungu wapandao kili, meru na mbuga kama serengeti na ngorongoro wanaacha dolar, euro na paund hapa, makao makuu ya taasisi mbalimbali barani Afrika kama mahakama ya biashara na makao makuu ya posta Afrika ni hapa, UN-ICTR (mahakama ya kesi za mauaji ya kimbari ya Rwanda) na wafanyakazi wao ni hapa, makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki ni hapa, kilimo na mifugo ya kisasa ni hapa, na of course nami angalia jina langu hapo juu unitake radhi na kama kuna mikoa inaonewa jitokezeni kujitetea.
 
Mungu tunasuru na Mkoa wa Singida kwa kina Tundu Lissu, mkoa mgumu sijapatakuona.

Nilijaribu kuwekeza huko nilifungua kakituo ka mafuta kwa siku unauza Lita 20.

Ndio maana Lissu anaamua kujichimbia Dar.
 
Kila kitu kwa nino. Au utajiri ni watu kuishi mabondwni?

Dar es Salaam kuna mzunguko mkubwa wa pesa tofauti ni mikoa mingine hivi mkoa kama Kagera, Mara, Shinyanga, Singida, Mtwara, Lindi, Morogoro, unaweza kuishi na familia yako kwa kuuza maji ya kutembeza au Matunda mjini?
 
Mungu tunasuru na Mkoa wa Singida kwa kina Tundu Lissu, mkoa mgumu sijapatakuona.

Nilijaribu kuwekeza huko nilifungua kakituo ka mafuta kwa siku unauza Lita 20.

Ndio maana Lissu anaamua kujichimbia Dar.

Lisu ndio mbunge wa majimbo yote ya Singida vile eeh?!!
 
Nna wasiwasi na Ruvuma lakin kama mnaihesabia na zanzibar basi anza na zanzibar kalibia mikoa yote malizia na ruvuma singida ,tabora na singida
 
Sidhani kama mtwara na Lindi zitachomoka hapa!


Si kweli; MT na Lindi ni matajiri mno huwezi kamwe kulinganisha na Kilimanjaro, Arusha, TB, SHY, na Kigoma (sehemu zote nimeishi hizi na kufanya kazi huko). MT na Lindi wana gesi la Songosongo na kule umeme wao wa gesi haukatiki. Pia wana ardhi yenye rutuba, karibia kila kitu kule kinastawi ila tu ilikuwa ni kasumba ya Nyerere kutotaka kuendeleza kule kwa sababu alishaona dalili ya maendeleo na utajiri wa mikoa ile. Mimi ni geologist, I worked there for quite a while kwa kweli kule wana haja ya kuringa kutokana na utajiri wao; kuna madini pia mengi tu yamegunduliwa. Tatizo kubwa linalowasumbua watu wa kule ni kwamba wameweka uislamu mbele sana, na mnajuwa sehemu yeyote inayoendekeza uislam kama Tabora, Kigoma, Pwani, Zanzibar, Pemba, Tanga, Lindi na MT maendeleo hakuna. watu hawataki kupeleka watoto shuleni ila madrasa tu, sasa madrasa na shule nini muhimu katika maisha ya mtoto? Wamachinga mpooooo, njooni mchangie mada. Na kama nadanganya mnikosoe nami niwambie ukweli zaidi ya hapa. Najuwa ndugu zangu waislam mtakasirika lakini ukweli ndiyo huo.
 
Nijuvyo mimi Tanzania ni nchi yenye watu na watawala maskini lakini tajiri wa raslimali hasa madini ardhi mito maziwa bahari na vivutio. Kwa vile mikoa tajwa iko kwenye nchi maskini inayoishi kwa kuomba omba, hakuna mkoa maskini wala tajiri. Kama upo basi ni sawa na kuwachukua ombaomba na kuwashindanisha. Kimsingi uzuri wa swali hili ni kama suto kwetu.
 
Umasikini wa fikra ndio chanzo cha umasikini wetu.
Viongozi watumwa wa fikra, wananchi wa chini nao ni masikini wa fikra
 
Hajui kama Billionea Mohamed Dewji ni Mbunge wa Singida mjini.

Nilikuwa sifahamu kama Mohamed Dewji ni Bilionea.

Mie nilikuwa nawafahamu kina Carlos Slim, Bill Gate, Warren Buffett.

ngoja niangalie vizuri jarida la Forbes labda Mohamed Dewji yumo.
 
Mkoa wa Lindi ndio unaongoza kwa umaskini TZ. Source EIU jarida
 
MIAKA 50 ya UHURU TANZANIA

Mbavu za mbwa.jpg

View attachment 53740

Jembe 01.jpg

Akina+mama+wakibeba+mizigo+na+watoto,+kijiji+cha+Kagera+Nkanda+wilaya+ya+Kasulu+-+Kigoma.jpg

View attachment 53746

WAGONJWA_ZAHANATI_KISAKI[1]_.JPG

Skeleton.jpg

View attachment 53740


MAISHA BORA Kwa KILA MTANZANIA YANAWEZEKANa!!!


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Back
Top Bottom