Habari wana JF; Naombeni mnisaidie, ni upi mkoa maskini kuliko yote Tanzania; na nini mchango wa siasa za Tanzania kuimimarisha uchumi wa mkoa huo?
Natanguliza shukurani zangu kwa michango yenu.
Umaskini wa nini unaozungumzia?
Kama wa Rasilimali, sijui. Lkn kama umaskini unaotokana na occupants wa mkoa wenyewe, basi ni Tabora. Mtu mzima na akili zako huwezi kuishi utegemee nyuki wakulishe. Wanyamwezi mpoooooo! Nakaribisha matusi kwa kuwa najua ukweli unauma
Tabora waliambiwa walime tumbaku kwa wingi, wakalima alafu wakakosa pa kuuzia hiyo tumbaku yao, huku tayari washakopa pembejeo za kilimo, yaani hata ukiuza tumbaku yote bado unadaiwa kudadeki..!Shinyanga ndo mkoa maskini kuliko yote tanzania na ndo mkoa tajiri kuliko yote tanzania ...
sasa wewe tafakari inakuwaje hapo.
Tabora ni maskini kutokana na njaa zao za kupewa mahindi ya siku moja na ccm na kugawa kura zao.
Umaskini wa nini unaozungumzia?
Kama wa Rasilimali, sijui. Lkn kama umaskini unaotokana na occupants wa mkoa wenyewe, basi ni Tabora. Mtu mzima na akili zako huwezi kuishi utegemee nyuki wakulishe. Wanyamwezi mpoooooo! Nakaribisha matusi kwa kuwa najua ukweli unauma
Hivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco?
vichekesho vingine ni matusi! Anyway point takenHivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco?
Mohammed Shossi wewe hujamuelewa huyu yeye alitaka awe wa kwanza kuchangiaHivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco?
Hivi nyuki kwa kingreza ndio wanaitwa tobacco?
Umaskini wa nini unaozungumzia?
Kama wa Rasilimali, sijui. Lkn kama umaskini unaotokana na occupants wa mkoa wenyewe, basi ni Tabora. Mtu mzima na akili zako huwezi kuishi utegemee nyuki wakulishe. Wanyamwezi mpoooooo! Nakaribisha matusi kwa kuwa najua ukweli unauma
Shinyanga ndo mkoa maskini kuliko yote tanzania na ndo mkoa tajiri kuliko yote tanzania ...
sasa wewe tafakari inakuwaje hapo.
Tabora ni maskini kutokana na njaa zao za kupewa mahindi ya siku moja na ccm na kugawa kura zao.
Sidhani kama mtwara na Lindi zitachomoka hapa!