Mkoa maskini kuliko yote Tanzania

Mkoa maskini kuliko yote Tanzania

Mkoa masikini ni No 1 ni Kilimamnjaro ( kigezo watoto=mtu huoa mke mmoja na kuzaa watoto 1-3 kwa takwimu za sensa iliyopita.

Mwingine kwa umasikini ni Dar ambapo kiasili mkoa ni wa wazaramo wanaosukumwa nje ya mji kadri Dar inavyojengwa(kigezo starehe= wanacheza ngoma ya mdundiko mwaka mzima na watoto hawaendi shule).

Mkoa tajiri zaidi ni Kigoma(kigezo ni watoto=ambapo mwanamme anakuwa na watoto 30+ ) ila hawaendi shule.

Mwingine kwa utajiri ni shinyanga (kigezo+ng'ombe na watoto= mtu mmoja anaweza kumiliki ng'ome 3000+ na watoto 20+) ila analalia ngozi na watoto hawaendi shule.
 
Ni umasikini au ufukara?
Umasikini unakuwa kichwani mwa mtu, bali ufukara ni umasikini uliodhihirika kwenye hali halisi ukidhihirishwa na hali duni ya maisha.

Tulipokuwa primary kulikuwa na mitihani ya cluster, ambapo ulitungwa mtihani uliofanywa na shule kadhaa na matokeo kupangwa wa kwanza hadi wa mwisho. Kiroja ni pale yule mliyedhani ni mkali kwenye shule yenu anaposhika nafasi ya 120 zinapounganishwa shule 10. Kwa hiyo hata katikati ya wajinga wengi kuna mjinga atakayeshika namba moja. Nadhani ndicho tunachojadili hapa. Tafuta mkoa wenye idadi ya watu na eneo sawa na nchi ya Rwanda ndipo utaelewa ninachosema. Inawezekana kabisa huo mkoa ukawa na rasilimali nyingi kuliko hata Rwanda lakini hata chembe huwezi kuulinganisha. Ungeniuliza mkoa fukara kuliko yote nchini ningelijibu ni Tanzania. Tanzania ni fukara kwa sababu Watanzania ni maskini, haswa viongozi na watendaji wa serikali iliyoko madarakani. Hakuna Mtanzania anaeweza kujivuna kuwa yeye ni tajiri wakati akichungulia dirishani amezungukwa na ufukara wa kutupwa. Ufukara wa Singida ni ufukara wa Arusha ni ufukara wa Mbeya n.k. Zipo sababu nyingi, lakini ni lazima tukubali kuwa Watanzania ni wamoja na tumejichanyanganya mno.
 
1.Dar Es salaam

umaskini kwa reality unapimwa kwa upatikanaji wa mahitaji muhimu ya binadamu wote

mfano chakula,malazi,amani,nk
 
....Hahaha! teh teh teh teh.! Wewe.... badili jina uitwe UONGO MTUPU! Watu wanadumisha mila ile wengine walioshindwa then unaangalia kwa makengeza mkuu? Arusha is the richest region in Tanzania. Madini yasiyopatikana kokote duniani utayapata Arusha, wazungu wapandao kili, meru na mbuga kama serengeti na ngorongoro wanaacha dolar, euro na paund hapa, makao makuu ya taasisi mbalimbali barani Afrika kama mahakama ya biashara na makao makuu ya posta Afrika ni hapa, UN-ICTR (mahakama ya kesi za mauaji ya kimbari ya Rwanda) na wafanyakazi wao ni hapa, makao makuu ya Jumuiya ya Afrika mashariki ni hapa, kilimo na mifugo ya kisasa ni hapa, na of course nami angalia jina langu hapo juu unitake radhi na kama kuna mikoa inaonewa jitokezeni kujitetea.

sasa kama ni tasisi basi dodoma ni noma makao makuu ya nci yapo pale, bunge na ofisi za chama tawala,. Tanzanite ya makaburu, mahoteli ya mafisadi wao wako dar, we toka kidogo kama unelekea monduli ndo utajua kweli arusha mkoa maskini,. Kama rasilimali mtwara wana gas, dom wana uranium
 
Per capita income is not a good measure of measuring the health of an economy. It has been criticised a lot. For example Mtwara cannot be better off than Mbeya but according to per capita income it is. This is because of the type of investments in Mtwara as compared to Mbeya. But if you check the people of Mtwara and Mbeya, Mtwara locals are in a pathetic state compared to Mbeya. When grading we should consider many factors such as the standard of living, infrastructure, level of education, etc.
JnWR8NR0AAAAAElFTkSuQmCC
http://www.tanzania.go.tz/regions/COAST.pdf

Page 13

Tabora
 
Hii mada iendelezwe ili kujua ukweli. Binafsi, mkoa wangu naamini HAUPO katika Mikoa Maskini Tanzania.
 
Asante uliefukua mada hii.Analysis iendelee make na mabadiliko nimakubwa toka 2012-2016 hivyo basi na list unaweza kubadilika
 
Back
Top Bottom