Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 4,213
- 17,451
- Thread starter
- #21
Ubungo riverside Mikasa barToa location sasa
Ubungo riverside Mikasa barToa location sasa
Unalewa mapema sana,Niko tu uchochoroni,
Siziwezi hekaheka za vijana Mimi Mzee wenu,nipo mahali nimejibanza napata local beer
View attachment 3597142
Hayupo mbali na mimiSogea sogea karibu na dj kiongozi
Muda sahihi ni upiUnalewa mapema sana,
Umekosa safari kaka?Niko tu uchochoroni,
Siziwezi hekaheka za vijana Mimi Mzee wenu,nipo mahali nimejibanza napata local beer
View attachment 3597142
Heeee sawa waje tuongeeMkuu hawa wadogo zako wengine hawana uhakika wa nauli kesho.
Badala ya kuwanunulia pombe, fanya mpango uwarushia afu tatu tatu wapate nauli za kwenda interview na wengine kuzungusha bahasha maofsini.
Bia hata hazijaisha ushalewaMuda sahihi ni upi
Tangu saa 11 jioni nipoBila hata hazijaisha ushelewa
Poaa all the bestTangu saa 11 jioni nipo
Nice onePoaa all the best
Mzigo huu ni kama shapeless@SeranNgoja nipate ka wine ka hivi , pombe nzito nzito nastaafu kwa mda
View attachment 3597160
Mzigo huu ni kama shapeless@SeranNgoja nipate ka wine ka hivi , pombe nzito nzito nastaafu kwa mda
View attachment 3597160
Huyo Seran navyomtaka sasa natamani angekuja ,aseme anataka afanyiwe nini kwenye maisha yake,Mzigo huu ni kama shapeless@Seran
tuma muamala hapahapaKujeni wadogo zangu,bills zote juu yangu
Acha Mambo yako njoo nilipotuma muamala hapahapa
Ok sawa mkuuMkuu Jack Daniel acha si tuupigie nyumban hakuna namna tu
Safari ni bia yangu ya miaka yote,ila nimehamia kwenye lite ili nikiamka at least niwe timamu kiakili na kimwiliAcha uoga kula safari
😆
Zunguka nyuma kwenye jiko la kitimotoNiko tu uchochoroni,
Siziwezi hekaheka za vijana Mimi Mzee wenu,nipo mahali nimejibanza napata local beer
View attachment 3597142