Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

Mko wapi, tatizo mnajificha sana mabroo

Mkuu hawa wadogo zako wengine hawana uhakika wa nauli kesho.
Badala ya kuwanunulia pombe, fanya mpango uwarushia afu tatu tatu wapate nauli za kwenda interview na wengine kuzungusha bahasha maofsini.
Heeee sawa waje tuongee
 
Back
Top Bottom