baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,482
- 12,094
Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli. Wapi sasa ukweli? Ukweli uko wazi; jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli alipoondoka, wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu, na maskio waliobaki wote walikuwa ni kelele.
Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo, kumbe maigizo. Wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki. Kiko wapi leo wakina Bashiru? Mnashindwa kutoa hata tamko. Kijana wenu Polepole, uzalendo wenu uko wapi?
Mzalendo wa kweli ni Polepole. Watanzania, tuamke leo. Kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake, JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama, wazalendo tupaze sauti. Wa mrudisheni Polepole akiwa mzima, bila masharti yoyote.
Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo, kumbe maigizo. Wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki. Kiko wapi leo wakina Bashiru? Mnashindwa kutoa hata tamko. Kijana wenu Polepole, uzalendo wenu uko wapi?
Mzalendo wa kweli ni Polepole. Watanzania, tuamke leo. Kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake, JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama, wazalendo tupaze sauti. Wa mrudisheni Polepole akiwa mzima, bila masharti yoyote.